mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
jana nimeonja kwa mara ya kwanza Azam-Malt
huyu mzee ni kiboko jamani!! ana vijana wanafikiria kama nn
maana kila mtu unamkuta njiani na mchupa wake wa malt aah anapata vitamin....
nafaham products zake zoote tunazifahamu hasa watu wa darisalama
mi nna wazo;kwa nn huyu mzee asitutengenezee na Lager rmx kabisaa?...kitu cha Azam-Ndovu,Azam-serengeti.Azam-Kili
kitu cha Azam-Redds ni mwendo wa mobile biere..tutakomaje?
imagine konda anauza Azam-Ndovu kkoo jua kaliii la sa 8...afu baridiii!!
huyu mzee ni kiboko jamani!! ana vijana wanafikiria kama nn
maana kila mtu unamkuta njiani na mchupa wake wa malt aah anapata vitamin....
nafaham products zake zoote tunazifahamu hasa watu wa darisalama
mi nna wazo;kwa nn huyu mzee asitutengenezee na Lager rmx kabisaa?...kitu cha Azam-Ndovu,Azam-serengeti.Azam-Kili
kitu cha Azam-Redds ni mwendo wa mobile biere..tutakomaje?
imagine konda anauza Azam-Ndovu kkoo jua kaliii la sa 8...afu baridiii!!