Azam Lager


anapiga sana mambo ya kilevya kuna kipindi alikataza timu yake isingie kwenye mashindano kisa jezi zina jina kilevya..
 
:thinking:Mzee Bakheresa kiboko, ila sie tunajiuliza mbona hayuko kwenye top 5 ya walipaji kodi wakubwa nchini?!


Tatizo lake ni kutokulipa kodi inavyostahili ila bidhaa zake zinatusaidia sana sisi watu wa hali ya chini.
 
:thinking:Mzee Bakheresa kiboko, ila sie tunajiuliza mbona hayuko kwenye top 5 ya walipaji kodi wakubwa nchini?!
Ukitaka kujua top 5 walipa kodi itabidi juwe angalau top 20 wenye utajiri Tanzania.
Hata hivyo muhimu ni bia anayotengeneza jee itawaridhisha akina Mkapa waliomchomea ngano yake?.
 
hahahaha...azam-valuer
Wabongo haturidhiki mkuu,
Akiwatolea Azam-Ndovu mtaanza kudai pia na Azam-Konyagi, Azam-John Walker, Azam-Jack Daniel n.k.,
Wacha tu aishie hapohapo alipofikia!!
 
Nafikiri products zake nyingi ni chakula ambavyo havina kodi kubwa: hata wakati wa njaa wanaruhusiwaga kuingiza bila kodi
 
Kweli inabidi atufikirie na sie wazee wa lager anakua hatutendei haki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…