cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Why hawaendi Pemba kutaliiBoti za Dar-Unguja vyoo vyake ni classic. Sijui kwa vile wanapanda wazungu sanakwenda kutalii Unguja? Maana kutoka Unguja kwenda Pemba hakuna Mtalii anayekwenda huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why hawaendi Pemba kutaliiBoti za Dar-Unguja vyoo vyake ni classic. Sijui kwa vile wanapanda wazungu sanakwenda kutalii Unguja? Maana kutoka Unguja kwenda Pemba hakuna Mtalii anayekwenda huko
Wakatalii nini kule Pemba? Ukiona sehemu watalii hawaendi ujue hakuna vivutioWhy hawaendi Pemba kutalii
Zile mimi sioni kama ni boti, zile ni vivuko kama MV Kigamboni tuWanaopanda bot kutoka Unguja to Pemba mostly ni Wapemba
Sijawahi safiri na bot kwenda Pemba, naogopa sana majiZile mimi sioni kama ni boti, zile ni vivuko kama MV Kigamboni tu
Duh kumbe Pemba kumekaa kushotoWakatalii nini kule Pemba? Ukiona sehemu watalii hawaendi ujue hakuna vivutio
Nina imani hujawahi kusafiri baina ya Unguja na Pemba. Ni masaa kama matatu kwa fast boats na matano mpaka sita kwa hizi za bei ndogo.Km 125 ni masaa 2 or less kwa boat ila mtu anataka kwenda chooni. Hawa wataweza kusafiri Dar Mwanza?
Ha haa huwa tunasema chungu kinamcheka kikaango eti mweusi!kwa asili wapemba hawatumii vyoo huwa wanakunya vichakani ndiomaana hivi karibuni smz ilikua inafanya kampeni kisiwa cha pemba kuhusu ujenzi na matumizi ya vyoo
Hakuna boti inayokwenda pemba nani apeleke boti pemba? ThubutuuuuuSijawahi safiri na bot kwenda Pemba, naogopa sana maji
Kwanza hakuna boti inayokwenda pemba pili meli za kwenda pemba zote ni za taratibu sehemu ambayo boti hutumia dk 90 meli hutumia hata masaa manne na kutoka unguja kwenda pemba ni mbali kuliko kutoka unguja kuja dar. Pemba unguja azam sealink zinatumia masaa sita kwa Bandari ya Mkoani na Sea star inatumia masaa 8 mpaka bandari ya wete.Km 125 ni masaa 2 or less kwa boat ila mtu anataka kwenda chooni. Hawa wataweza kusafiri Dar Mwanza?
Tumbo la kuhara linasubiri masaa 2?Km 125 ni masaa 2 or less kwa boat ila mtu anataka kwenda chooni. Hawa wataweza kusafiri Dar Mwanza?
Tatizo washavimbiwa mabiriyani wali jaa na,+ mayai ya kuchemsha hapo inakua ni kunya tu.Km 125 ni masaa 2 or less kwa boat ila mtu anataka kwenda chooni. Hawa wataweza kusafiri Dar Mwanza?
Vimetenganishwa na umbali wa vyoo elfu tano ukivipanga.Hivi kisiwa cha Unguja na Pemba vimetenganishwa kwa umbali kiasi gani?
Hawajui tofauti ya boti na meli.Hakuna boti inayokwenda pemba nani apeleke boti pemba? Thubutuuuuu