Azam Marine mambo shingoni. Zanzibar one na two mambo byeeee

Mkuu sio kweli , mm nimesafiri sana zenji hizo habari nazisikia Leo kwako.
Huu ni ukweli usipinge kwa mimi hili lilishanikuta mara mbili nikiwa hapa dar business class nimeshaipata kwa 45,000 na kwa siku natoka unguja niliweka oda mapema tu tena aliyeniwekea oda ni meneja wao ila kwa kuwa ni tabia sugu nilivyofika bandarini nikaelezwa kwa kuwa ni wewe itabidi ulipie VIP ila haikuwa nia niende VIP 50,000
 
mimi nmesafiri last time na kilimanjaro VII tulitumia 1:10 minutes....ukiritimba upo lakini huduma za azam huwezi fananisha na mtoa huduma yeyote kwa route hiyo..
 
Kwa sasa Azam anapitwa kama amesimama. wiki mbili zilizopita nilikua na safari ya Dar. baada ya kufika nikakaa boti ya saa moja kumbe na muda huo Zanzibar one ndo inaondoka. Nikajiingiza kwenye Azam, sisi tumeondoka saa moja kamili na Zanzibar one wameondoka saa moja daika 13. Kilichotokea wamefika mwanzo wao. wametupita na mabaharia wa azam walikua na uhakika kua tutapitwa. Turki anakimbiza sana saivi
 
Mkuu sio kweli , mm nimesafiri sana zenji hizo habari nazisikia Leo kwako.
Acha ubishi. Mwezi uliopita nilikuwa nakata tiketi ya boat ya saa 1 asubuhi. Yule jamaa wa dirishani akawa anauza tiketi za 25 kwa 60.
 
Boat za Azam zinakimbia sana sema hawajaamua. Tofauti ya dakika 13 Azam alimuachia maana akifika kule akishusha lazima Zanzibar 1 atoe boat yake kwenye gati ili ipishe za Azam zipaki.

Nasikia Bakresa alitaka kumzuoa asitumie hizo gati kisa yeye ndie alizijenga, lakini serikali ikaingilia kati.

Tusiwasifu sana ni kitendo cha mda tu. Watakapo anza kupambana kwa kushudha bei tutaona mbabe nani; japo ukweli utajulikana ni nani mbabe hapo.

God save us
 



Muwe mnapanda Fly horse elf 18 tu
 


Hii ilkua juzi ijumaa nilkua kwenye Azam Kilimanjaro 7 ni kweli Zanzibar one unakimbia Azam usifananishe na boat zozote nyengne nafkir zinafanana kwa Speed knots ni vile Zanzibar one anaforce kufka mwnzo ila Azam anajiamin na ameridhka na mda ambao anafka Azam anatembea hadi 35 knots hasa hasa kilimanjaro 4 na kilimanjaro 7 ndo zina speed sana na zinawah klko nyengne mm ni mzoefu wa Azam kila mwez natumia rout hazpungui nne kilimanjaro 7 na 4 zinatumia dakika 70 kufka na anatembea kwa kujiamin bila kuforce kuwah hata juzi tulishuka dar saa 17:15 na Hizo picha unaona nilichkua video sema siwez kuiupload Zanzibar one alimkatishia Azam mbele hapo kwa kuona anawah kufka kwenye maboya akaharakia kwa speed zote ikabdi kilimanjaro 7 apunguze speed kumwachia aingie hata hivyo sisi wa kilimanjaro tulishuka mwnzo tukamuacha Zanzibar one anahangaika kupark sasa kuna maana gan mbil nyingiiiiiii ila unachelewa kuapark na kuchelewa kushusha wakat Azam akiingia tu ashaandaa milango na wahudumu wapo tayar kushusha maboya unashuka within 3 minutes akishafka na pia Azam wapo faster kwenye kumonitor abiria wanaojirusha wanawaokoa haraka na hata ambao si abiria wakiona mtu amezama bac anasaidiwa ( cjajua kwa Zanzibar one ni vp nimepanda one time tu) pia boat za Azam ni mpya kabsa zinatengenezwa kutoka kiwandan Australia na akiona imechoka anauza km sea bus one na two na kilimanjaro three kwa mm cjaona tofaut ya hizi boat mbili na kwa usalama wngu akili yngu inaniambia kilimanjaro ni salama zaidi Coz anatembea kwa kujiamin si kwa kijilazmisha inaweza kuharbu chombo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
usishindane na Azam Marine wako poa na wanajiamini
nimeshuhudia matukio mawili ya abiria kujirusha majini lk wale vijana wa Azam ni wepesi kutoa huduma za uokoaji
natafuta siku na mm nije nijaribu hiyo huduma yao
View attachment 1418802


Hii picha ndio tukio la juzi ambalo Zanzibar one alifnya wenyew wakawa wanasema kua angefnyiwa tukio km hili Turky asingekubal Coz Azam alikua one way kwenye maboya akaona amkatishe mbele hivyo na hiyo ni mbaya Coz hapo maji yana mawimbi makubwa boat ikipita hivo na Azam ndo alkua nyuma yake tena karbu sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ticketi bei imepungua au ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli anachokisema, mimi imenitokea mara 2.

Boti ya saa 10 jioni unafika saa 8 na nusu unaambiwa ticket hakuna, zipo za kurusha.


Kawaida msimu wa ckukuu au msimu wa wagen wengi bac boat mfno saa sita huez kufka pale eti saa tano ukategemea upate economy class never mana weng wanakata economy na business kawaio ni lazma ukate mapema mno mana zinajaa na hata ukiingia ndan unakuta kweli seat hazpo na huezi kuzidsha abiria sio salama hasa kwa boat ambayo ni ndg na sometime boat ya saa kumi unaweza kukuta imejaa ila ya saa tatu bdo kutegemea na ticket zilvokatwa na kuhusu ticket za elf40 nje ni za madalali ambao wanazikata kusudi Coz wanajua tu zitaisha ndan na atotokea mtu wamuuzie nje kw bei yao kubwa wengne wao wanakua wale walogairisha safar wanaiuza nje kwa udalali wakat Azam km boat haijaondka unaweza kuicancel hawaend wenyew na jengne ni kuhusu Azam hawawez kujua km hii ticket mtu anaikata ni dalali mana wanaikata kwa kitambulisho watajua ni msafiri tu na wanasisitiza mtu ticket akate ofcn au kw agents na GETINI haupiti kama hauna kitambulisho au barua ya utambulisho na viendane na jina la ticket kwaio ukinnua ticket nje ni za dalali akiezkata si Azam tena na kwa kujaa boat zao zinajaa uhakika sio kwamba hawauzi maksudi labda ckuiz ndo mda wowote ukienda ticket unapata na ukitaka kujua km ticket zpo au hazpo au hawakuuzii maksudi ingia kwenye online booking utaona ticket km zpo au hamna zinaaoma kwenye system zikiisha tu inajiandka sold au km ni class unakuta haisom ticket kwaio hawawez kukata ticket wakakupa hata iweje upate mwenyej na uwe na emergency kubwa mno


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…