Azam Marine mambo shingoni. Zanzibar one na two mambo byeeee

Azam Marine mambo shingoni. Zanzibar one na two mambo byeeee

Kawaida msimu wa ckukuu au msimu wa wagen wengi bac boat mfno saa sita huez kufka pale eti saa tano ukategemea upate economy class never mana weng wanakata economy na business kawaio ni lazma ukate mapema mno mana zinajaa na hata ukiingia ndan unakuta kweli seat hazpo na huezi kuzidsha abiria sio salama hasa kwa boat ambayo ni ndg na sometime boat ya saa kumi unaweza kukuta imejaa ila ya saa tatu bdo kutegemea na ticket zilvokatwa na kuhusu ticket za elf40 nje ni za madalali ambao wanazikata kusudi Coz wanajua tu zitaisha ndan na atotokea mtu wamuuzie nje kw bei yao kubwa wengne wao wanakua wale walogairisha safar wanaiuza nje kwa udalali wakat Azam km boat haijaondka unaweza kuicancel hawaend wenyew na jengne ni kuhusu Azam hawawez kujua km hii ticket mtu anaikata ni dalali mana wanaikata kwa kitambulisho watajua ni msafiri tu na wanasisitiza mtu ticket akate ofcn au kw agents na GETINI haupiti kama hauna kitambulisho au barua ya utambulisho na viendane na jina la ticket kwaio ukinnua ticket nje ni za dalali akiezkata si Azam tena na kwa kujaa boat zao zinajaa uhakika sio kwamba hawauzi maksudi labda ckuiz ndo mda wowote ukienda ticket unapata na ukitaka kujua km ticket zpo au hazpo au hawakuuzii maksudi ingia kwenye online booking utaona ticket km zpo au hamna zinaaoma kwenye system zikiisha tu inajiandka sold au km ni class unakuta haisom ticket kwaio hawawez kukata ticket wakakupa hata iweje upate mwenyej na uwe na emergency kubwa mno


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sisi tunasafiri kila siku.Ticket mtandaoni zipo madirishani hakuna kaz yao kulangua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sisi tunasafiri kila siku.Ticket mtandaoni zipo madirishani hakuna kaz yao kulangua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app



Mm cjawah kupata ticket mtandaon na dirishan nikakosa ukiona haipo mtandaon bac dirishan haipo na hupew mana system haisomi cha kufnya ukiona mtandaon ipo unaikata then unawapa booking number na password mbona wanakupa ticket yako ukiwalipa shida ni watu hawajui taratbu za biahsara za watu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa siku nikienda kumuona mwanangu nitapanda hyo.
Inshaallaah

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
mimi nmesafiri last time na kilimanjaro VII tulitumia 1:10 minutes....ukiritimba upo lakini huduma za azam huwezi fananisha na mtoa huduma yeyote kwa route hiyo..
Unaifahamu Royal iliyounguzwa moto?

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
 
Boat za Azam zinakimbia sana sema hawajaamua. Tofauti ya dakika 13 Azam alimuachia maana akifika kule akishusha lazima Zanzibar 1 atoe boat yake kwenye gati ili ipishe za Azam zipaki.

Nasikia Bakresa alitaka kumzuoa asitumie hizo gati kisa yeye ndie alizijenga, lakini serikali ikaingilia kati.

Tusiwasifu sana ni kitendo cha mda tu. Watakapo anza kupambana kwa kushudha bei tutaona mbabe nani; japo ukweli utajulikana ni nani mbabe hapo.

God save us
Issue siyo nani ni mbabe. Issue ni watu wanataka ushindani ili huduma ziwe za kumjali mteja. Kama kweli hao Azam walikuwa hawataki watu walanguliwe ticket zao wangeweka njia ya mauzo ya tiketi iwe wazi na siyo ya ulanguzi. Kwa hiyo watu wanachosubiri hapa siyo nani mbabe bali nani mwenye huduma nzuri.
 
Issue siyo nani ni mbabe. Issue ni watu wanataka ushindani ili huduma ziwe za kumjali mteja. Kama kweli hao Azam walikuwa hawataki watu walanguliwe ticket zao wangeweka njia ya mauzo ya tiketi iwe wazi na siyo ya ulanguzi. Kwa hiyo watu wanachosubiri hapa siyo nani mbabe bali nani mwenye huduma nzuri.
Kuna watu wamedominate hiyo biashara hawapendi ushindani, ukija na ushindani wako unafanywa kama Royal Express ya Said Mbuzi.

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
 
Hiyo Zanzibar one ni ya nani......usikute wote ni ngozi nyeupe alafu tunaobishana ni ngozi nyeusi tiii
Mimi siyo racist lakini ujumbe kwenye swali lako una maana kubwa sana. Bado nakumbuka ile miaka ya nyuma ya Simba na Yanga kipindi hicho ni kina Gulamali vs Dewji. Ngozi nyeusi wale jamaa walitupelekesha kweli kweli kumbe wenzetu wanajua wanachopata. Nikikumbuka nilivyokuwa shabiki asiyetaka kuambiwa chochote na nilikuwa nawaona hawa wahindi kama miungu watu mpaka sasa huwa nasikitika. Nashukuru ule ushabiki wa Simba na Yanga umenitoka kabisa sasa hivi.
 
Kuna watu wamedominate hiyo biashara hawapendi ushindani, ukija na ushindani wako unafanywa kama Royal Express ya Said Mbuzi.

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
Ilifanywa nini hiyo tena hiyo?
 
Mimi siyo racist lakini ujumbe kwenye swali lako una maana kubwa sana. Bado nakumbuka ile miaka ya nyuma ya Simba na Yanga kipindi hicho ni kina Gulamali vs Dewji. Ngozi nyeusi wale jamaa walitupelekesha kweli kweli kumbe wenzetu wanajua wanachopata. Nikikumbuka nilivyokuwa shabiki asiyetaka kuambiwa chochote na nilikuwa nawaona hawa wahindi kama miungu watu mpaka sasa huwa nasikitika. Nashukuru ule ushabiki wa Simba na Yanga umenitoka kabisa sasa hivi.
Yah.....nawakumbusha wenzangu maan hua tuanjisahau sana huku jamaa wakipiga mpunga.........na hapa nafikiria mabilionea wenye asili ya kule kolomije au kishumundu kk wapo
 
Hii ilkua juzi ijumaa nilkua kwenye Azam Kilimanjaro 7 ni kweli Zanzibar one unakimbia Azam usifananishe na boat zozote nyengne nafkir zinafanana kwa Speed knots ni vile Zanzibar one anaforce kufka mwnzo ila Azam anajiamin na ameridhka na mda ambao anafka Azam anatembea hadi 35 knots hasa hasa kilimanjaro 4 na kilimanjaro 7 ndo zina speed sana na zinawah klko nyengne mm ni mzoefu wa Azam kila mwez natumia rout hazpungui nne kilimanjaro 7 na 4 zinatumia dakika 70 kufka na anatembea kwa kujiamin bila kuforce kuwah hata juzi tulishuka dar saa 17:15 na Hizo picha unaona nilichkua video sema siwez kuiupload Zanzibar one alimkatishia Azam mbele hapo kwa kuona anawah kufka kwenye maboya akaharakia kwa speed zote ikabdi kilimanjaro 7 apunguze speed kumwachia aingie hata hivyo sisi wa kilimanjaro tulishuka mwnzo tukamuacha Zanzibar one anahangaika kupark sasa kuna maana gan mbil nyingiiiiiii ila unachelewa kuapark na kuchelewa kushusha wakat Azam akiingia tu ashaandaa milango na wahudumu wapo tayar kushusha maboya unashuka within 3 minutes akishafka na pia Azam wapo faster kwenye kumonitor abiria wanaojirusha wanawaokoa haraka na hata ambao si abiria wakiona mtu amezama bac anasaidiwa ( cjajua kwa Zanzibar one ni vp nimepanda one time tu) pia boat za Azam ni mpya kabsa zinatengenezwa kutoka kiwandan Australia na akiona imechoka anauza km sea bus one na two na kilimanjaro three kwa mm cjaona tofaut ya hizi boat mbili na kwa usalama wngu akili yngu inaniambia kilimanjaro ni salama zaidi Coz anatembea kwa kujiamin si kwa kijilazmisha inaweza kuharbu chombo


Sent using Jamii Forums mobile app
Hao abiria wanaojirusha kwenye maji huwa ni kwa makusudi au inakuaje? Naomba unieleweshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ilkua juzi ijumaa nilkua kwenye Azam Kilimanjaro 7 ni kweli Zanzibar one unakimbia Azam usifananishe na boat zozote nyengne nafkir zinafanana kwa Speed knots ni vile Zanzibar one anaforce kufka mwnzo ila Azam anajiamin na ameridhka na mda ambao anafka Azam anatembea hadi 35 knots hasa hasa kilimanjaro 4 na kilimanjaro 7 ndo zina speed sana na zinawah klko nyengne mm ni mzoefu wa Azam kila mwez natumia rout hazpungui nne kilimanjaro 7 na 4 zinatumia dakika 70 kufka na anatembea kwa kujiamin bila kuforce kuwah hata juzi tulishuka dar saa 17:15 na Hizo picha unaona nilichkua video sema siwez kuiupload Zanzibar one alimkatishia Azam mbele hapo kwa kuona anawah kufka kwenye maboya akaharakia kwa speed zote ikabdi kilimanjaro 7 apunguze speed kumwachia aingie hata hivyo sisi wa kilimanjaro tulishuka mwnzo tukamuacha Zanzibar one anahangaika kupark sasa kuna maana gan mbil nyingiiiiiii ila unachelewa kuapark na kuchelewa kushusha wakat Azam akiingia tu ashaandaa milango na wahudumu wapo tayar kushusha maboya unashuka within 3 minutes akishafka na pia Azam wapo faster kwenye kumonitor abiria wanaojirusha wanawaokoa haraka na hata ambao si abiria wakiona mtu amezama bac anasaidiwa ( cjajua kwa Zanzibar one ni vp nimepanda one time tu) pia boat za Azam ni mpya kabsa zinatengenezwa kutoka kiwandan Australia na akiona imechoka anauza km sea bus one na two na kilimanjaro three kwa mm cjaona tofaut ya hizi boat mbili na kwa usalama wngu akili yngu inaniambia kilimanjaro ni salama zaidi Coz anatembea kwa kujiamin si kwa kijilazmisha inaweza kuharbu chombo


Sent using Jamii Forums mobile app

Kilimanjaro 4 na 7 zote ni jet engines, sawasawa na hizo za Zanzibar 1.

Tatizo Kilimanjaro 4 inachukua abiria wengi, mizigo na ina engines 4 inakula mafuta sana. Ndio maana imewekwa route za kupambana na Zanzibar 1.

Kilimanjaro 7 yenyewe kwanza engine yake ndio kwanza imeanza kutumika kwenye hiyo boat ( aina ya zile engines ni toleo jipya la Rolls Royce ndio imewekwa kwenye ile boat kwa mara ya kwanza, ni toleo jipya). Inatembea hatari.

Kinachonisikitisha Kaptein Mgalula niliyemheshimu sana tokea akiwa Azam Marine ndio anafanya huu ushabiki usio na maana. Jumamosi tumeondoka saa sita na nusu Unguja, Zanzibar 1 alitangulia kuondoka akaenda mbele kidogo akasimama, tukapita tukiwa kwenye Kilimanjaro 4, alitufukuzia amekuja kutupita karibia na maboya. Akifika anaweka mbwembwe na kuigeuza kabisa ili ipaki ikiwa ipo tayari kuondoka. Kwenye huo msukosuko anapoteza muda kiasi kwamba abiria wa Kilimanjaro wanashuka mwanzo au wanashuka pamoja.

Vile vile zile Zanzibar 1 wanazipumzisha routes, hawazifanyii kama Kilimanjaro ambapo boat inapiga safari tatu siku nzima non stop.

Wataleta kitu ambacho speed yake haitakua na mfano. Napenda pawe na watoa huduma zaidi ila kushindana na Azam inabidi ujipange.
 
Back
Top Bottom