KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,705
- 4,217
USHAURI:
Kwa mabosi na wadau wa hapo Chamazi akina Saidi, Omary, Hashimu Ibwe, Zakaria (ZakaZakazi) na wengineo mnataka kujua umafia na kufanya mageuzi kwenye timu yenu basi msajili kocha mzawa kwa gharama yoyote ile Ramadhani Matola na mpeni mkataba wa miaka mi 4+.
Matola anajua umafia wa ligi hii, kaicheza ligi kwa miaka kadhaa na amekuwa kocha kwa miaka mingi.
Najua watakuja kusema hana vigezo na mambo ya leseni ya CAF, ukweli ni kwamba hayo ni mambo madogo sana ila kama mtaamua kusajili kocha Mzungu basi hamna rangi mtaacha kuiona. Msimu huu mmebadili Makocha zaidi ya wanne, ndani ya misimu miwili tu!
Nawasilisha.
Kenge1
Kwa mabosi na wadau wa hapo Chamazi akina Saidi, Omary, Hashimu Ibwe, Zakaria (ZakaZakazi) na wengineo mnataka kujua umafia na kufanya mageuzi kwenye timu yenu basi msajili kocha mzawa kwa gharama yoyote ile Ramadhani Matola na mpeni mkataba wa miaka mi 4+.
Matola anajua umafia wa ligi hii, kaicheza ligi kwa miaka kadhaa na amekuwa kocha kwa miaka mingi.
Najua watakuja kusema hana vigezo na mambo ya leseni ya CAF, ukweli ni kwamba hayo ni mambo madogo sana ila kama mtaamua kusajili kocha Mzungu basi hamna rangi mtaacha kuiona. Msimu huu mmebadili Makocha zaidi ya wanne, ndani ya misimu miwili tu!
Nawasilisha.
Kenge1