Nikiwa nawaza marejesho kingee hakikuji.Of course not all of them end with -est, but this one has to end with -est to make a correct sentence. I understand sometimes we mix american english with British english, yaani watu kila mtu anajiongelea anavyojua tu...
... Atoto nimechoka kuandika, njoo unifundishe my babez
The birds of a feather flock together.Probably na management imejaa vilaza, wahenga walinena 'birds of the 🪶 feathers flock together'
Mkifikia kuandika kipare nistue babe.Nimekuomba tu unisaidie maana hizo sentence nimejitahidi kuandika na kufuta hadi kikapatikana ukichokisoma😅😅😅😅😅😅😅
udini mtupuQualification kubwa uwe umesoma Al Haramuin
Hosea mchopa kingereza kimenyooka sana ndie huwa anatumwa pale IST ku cover habariNakukatalia kwa Ushahidi Kuntu (Tukuka) wa Mtangazaji wa Kike ambaye nimemfundisha Mwenyewe Kozi aifanyayo mahala fulani mwaka 2010 hadi mwaka 2011 aitwae Fatma Abdallah Chikawe (Sports Lady) na hivi majuzi tu ametoka Kushinda Tuzo yake na ameshashinda nyingine mahala kuwa anajua Kiingereza hadi anakera na anawashinda hata Maprofesa wako unaowajua na Wasomi wengi nchini.
Mtangazaji wa Azam Media Mwadada Fatma Abdallah Chikawe anajua kuongea Kiingereza na Kukiandika vyema hadi raha. Mimi ni Mwalimu wake na kwa Kujiamini kabisa Nakuthibitishia hilo. Hata hivyo nakubaliana kuwa Watangazaji wengi wa Redio na Runinga nchini Tanzania wanachangamoto ya kuweza vizuri Kuwasiliana au Kuitumia hii Lugha ya Kiingereza.
Tena kama kuna Media ambayo sasa kwa Taarifa yako ndiyo ina Watangazaji wasiojua kabisa Kiingereza japo ukiwaona wanajifanya Wajanja na Wanajua ni wa IPP Media.
Shida hakuna sera nzuri ya elimu.... serikali ianzishe shule za mchepuo wa kiswahili Kutoka chekechea Hadi chuo kikuu. na shule za mchepuo wa kiingereza Kutoka nursery Hadi chuo kikuu.Sitetei kutokujua ila nauliza Wateja wao ni kina nani ?, Huenda issue sio kujua au kutokujua bali kutumia lugha ambayo haina ulazima kwa soko lao (after all its all about communication na kama kuna alternative au wanaeleweka basi tusonge mbele)
Hamna, kipare hukiwezi...Mkifikia kuandika kipare nistue babe.
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nakuonea Huruma sana kaka naona kipovu cha mdomo kinakutoka Kiengereza ndio nini wacha ujinga kwani tupo London apa eti makocha Maspain wanaongea lugha yao tu.Azam Media mnatia aibu sana, kampuni gani imeshindwa kupata Watangazaji wanaoijua vizuri lugha ya kiingereza?
Makocha wa kigeni wanapata taabu sana kusikia na kuelewa kinachosemwa ama kutamkwa na Watangazaji wa Azam Media.
Hii ni aibu, kampuni imejaa watu waliokimbia sh
Nakijua, nina mwalimu mzuri🤣Hamna, kipare hukiwezi...
Labda tuanze na kijaluo!
Nani alikwambia hivyo? Kwamba mtu akijua kuongea vizuri lugha ya Kiingereza huyo shule imo?Hii ni aibu, kampuni imejaa watu waliokimbia shule.
Lugha ni kwa ajili ya communication tu hakuna cha zaidi, kwahio sio Kiswahili na Kingereza pekee kama mtu unao uwezo hata Kichina, Kifaransa na Kijerumani na lugha zote za Tanzania utajifunza au ukizifahamu ni bora zaidi..., Na hususan kama tasnia yako inahusu mawasiliano ni vema ukazijua (hilo lipo wazi)Shida hakuna sera nzuri ya elimu.... serikali ianzishe shule za mchepuo wa kiswahili Kutoka chekechea Hadi chuo kikuu. na shule za mchepuo wa kiingereza Kutoka nursery Hadi chuo kikuu.
Juzi nilifadhaika mno kusoma walichokiandika kuhusiana na mtemi MILAMBO.Azam Media mnatia aibu sana, kampuni gani imeshindwa kupata Watangazaji wanaoijua vizuri lugha ya kiingereza?
Makocha wa kigeni wanapata taabu sana kusikia na kuelewa kinachosemwa ama kutamkwa na Watangazaji wa Azam Media.
Hii ni aibu, kampuni imejaa watu waliokimbia shule.
Hiki Kingereza ni chako au umeazima kwa Nyani Ngabu?Trust me, she is fluent.
Plus, she's very confident in her own skin. She's got that... pizzazz, if I may...
I like her.