Azam Media fukuzeni anayechukua picha za matangazo ya mpira, u-Yanga umemzidi

Azam Media fukuzeni anayechukua picha za matangazo ya mpira, u-Yanga umemzidi

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Hiyo mfanyakazi wenu si muadilifu kwenye kazi yake, hasa anapochukua matukio ya picha Yanga inapocheza na timu nyingine.

Anachofanya ni kuipendelea Yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga.

Kwa mfano, alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD dhidi ya Yanga.

Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
 
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Hapo ni crew nzima sasa!! Wachukua picha ni wengine na wanaochanganya ni wengine na kuturishia ikiwemo marudio ya matukio ni wengine
 
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Uongeongelea na upungufu wa kamera ungekuwa umeongea kitu cha msingi.. Uwanjani kuna kosekana kamera muhimu. Jaribu kuwaza tu wangekuwa na kamera zile za nyuma ya goli ingekuwa inasaidia sana.
 
Yes hata mm niliona juzi zile off side 2 zilizozaa magoli ya Simba
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Hakurudia vzur tukaona
 
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Yanga Bingwa.
 
Kichaka kilifyekwa na kipindi cha kipyenga cha mwisho last Thursday usiku , hakuna goli kwa Kengold kwa marudio ya picha za video, mpira haukuvuka mstari, bado makolo wanaweweseka na ile mechi ambayo koplo Baka alitoka nyuma akiwa onside na kufunga, halal goaaaal.

Habari ya mjini ni Azam kujilegeza na Simba mdebwedo kushindwa kufunga hadi kupewa magoli mawili ya offside, shame on Sasii and Simba and Azam wanaokamia mechi moja tu ya Yanga , kuumiza wachezaji wa Yanga na bado wanakandwa 4.

Alhamisi hii usiku usikose kipyenga cha mwisho cha Othman Kazi ili kuona Simba inavyolazimisha victories they don't deserve!! Shame on kolowizard, timu mbovu ushindi wa mchongo ndo maana iko ligi ya mademu shirikisho!!
 
Uongeongelea na upungufu wa kamera ungekuwa umeongea kitu cha msingi.. Uwanjani kuna kosekana kamera muhimu. Jaribu kuwaza tu wangekuwa na kamera zile za nyuma ya goli ingekuwa inasaidia sana.
Kuna camera za nyuma ya goli na kuna camera za goli line. Kinachotakiwa hapo n camera za goli line na sio camera za nyuma ya goli mana hizo zipo tayari ila hawana camera za goli line.
 
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.

Vipi Goli zile mbili za offside vs Azam pale Amani stadium alizionyesha?
 
Hiyo mfanyakazi wenu SIYO muadilifu kwenye kazi yake hasa anapochukua matukio ya PICHA yanga inapocheza na timu NYENGINE.Anachofanya ni kuipendelea yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga. Kwa mfano alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD chidi ya yanga.
Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Mwambie karia amfukuze elisasii na tatu malongo,tuanzie hapo kwanza alafu mengine yatafuata.
 
Nilidhani naona peke yangu. Hata Ile game ya Simba na Ahly kule Tripoli alizingua sana
 
Back
Top Bottom