Azam Media fukuzeni anayechukua picha za matangazo ya mpira, u-Yanga umemzidi

Azam Media fukuzeni anayechukua picha za matangazo ya mpira, u-Yanga umemzidi

Hiyo mfanyakazi wenu si muadilifu kwenye kazi yake, hasa anapochukua matukio ya picha Yanga inapocheza na timu nyingine.

Anachofanya ni kuipendelea Yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga.

Kwa mfano, alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD dhidi ya Yanga.

Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Kala rushwa huyo
 
Hiyo mfanyakazi wenu si muadilifu kwenye kazi yake, hasa anapochukua matukio ya picha Yanga inapocheza na timu nyingine.

Anachofanya ni kuipendelea Yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga.

Kwa mfano, alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD dhidi ya Yanga.

Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Azam ibebe Yanga, wewe huwajui vizuri wamiliki wa Azam maana mwenyewe ni mnazi lialia wa Kolo FC mpaka akaja kuwa mweka hazina wa club. Yanga ligi hii anashindana na timu mbili.
 
Azam ibebe Yanga, wewe huwajui vizuri wamiliki wa Azam maana mwenyewe ni mnazi lialia wa Kolo FC mpaka akaja kuwa mweka hazina wa club. Yanga ligi hii anashindana na timu mbili.
Timu mbili pamoja na body ya ligi, karia na kidau Yani administration yote pale karume.
 
Hiyo mfanyakazi wenu si muadilifu kwenye kazi yake, hasa anapochukua matukio ya picha Yanga inapocheza na timu nyingine.

Anachofanya ni kuipendelea Yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba yanga.

Kwa mfano, alishindwa kurudia PICHA goli lilokuwa limefungwa na KENGOLD dhidi ya Yanga.

Aidha Simba inapocheza na yanga PICHA nyingi amekuwa akibase upande wa yanga kuanzia washabiki hadi uwanja I.
Tangia afariki Mpiga Picha wao na aliyekuwa Jirani yangu Kawe Marehemu Idi Mambo, Azam Tv sasa wana Wapuuzi.
 
Back
Top Bottom