Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Leo nimeona katika moja ya magazeti kuwa Azam Media imefanikiwa kuwapiku DSTV yenye chanell za super sports amabazo ni maarufu kwa kuonesha mipira na michezo mbali mbali,,KATIKA TENDA ya KUONESHA LIGI KUU YA UGANDA
Awali ligi hii ilikua chini ya Udhamini wa Super Sports na sasa itakua chini ya AZAM MEDIA na hivyo ligi hiyo ya UGANDA itaitwa Azam Premier League....
Azam Media itaweza kuwazidi kete DSTV ktk ushindani huu?...
Kuna mtu alinitonya kuwa wanampango wa kupeleka maombi kwa ajili ya English Premier League...
SOURCES...
...https://www.facebook.com/azamtvtz
....aarifa.co.tz/2015/02/azam-kuidhamini-ligi-kuu-ya-uganda/
NB: Huu ni ushindani wa kibiashara na king'amuzi cha Azam kinaonekana kushika kasi tofauti na ving'amuzi vingine...
Awali ligi hii ilikua chini ya Udhamini wa Super Sports na sasa itakua chini ya AZAM MEDIA na hivyo ligi hiyo ya UGANDA itaitwa Azam Premier League....
Azam Media itaweza kuwazidi kete DSTV ktk ushindani huu?...
Kuna mtu alinitonya kuwa wanampango wa kupeleka maombi kwa ajili ya English Premier League...
SOURCES...
...https://www.facebook.com/azamtvtz
....aarifa.co.tz/2015/02/azam-kuidhamini-ligi-kuu-ya-uganda/
NB: Huu ni ushindani wa kibiashara na king'amuzi cha Azam kinaonekana kushika kasi tofauti na ving'amuzi vingine...