AZAM MEDIA mnaweka camera mita 500 kutoka uwanjani mnatuonyesha video replay wachezaji wanaonekana wadogo kama sisimizi, hivi hamuoni makosa yenu?

AZAM MEDIA mnaweka camera mita 500 kutoka uwanjani mnatuonyesha video replay wachezaji wanaonekana wadogo kama sisimizi, hivi hamuoni makosa yenu?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu,

Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje!

Unasubiri replay, napo unaona video nzuri lakini wachezaji wanaonekana kama sisimizi huwatambui vizuri licha ya kuwa unamiliki TV inch 72 full HD😡

Mfano goli la Selebwenzi alofungia kati kati ya uwanja, goli la Dogo wa KMC akiwafunga Yanga, Goli la Sowah akiwafunga yanga , Tukio la jana la mchezaji wa Namungo kupigwa Red card ile video replay hata haieleweki slow motion yenyewe haieleweki mpaka mtizamaji unashindwa kujua kinachoendelea mpaka tuanze kuulizana, mbaya zaidi wachambuzi wa makao makuu nao ile replay hawaioni vizuri bsdala yake inawabidi watumie akili ya kuzaliwa waanze kuchambua kwa kutumia body language kuwa mchezaji kaweka mikono kichwani maana yake anajua alichokifanya hapa ilitakiwa Azam media mtuonyeshe tukio kwa usahihi

Yaani video replay na live footage haionyeshi kwa ukaribu, video zinakua ndogo wachezaji kama sisimizi, replay yenyewe haieleweki


Licha ya kuwa na vifaa bora nadhani shida ipo kwa watu wanaovitumia hivyo vifaa

Tizama hapa umbali ambao camera zimewekwa na hawa wataalam
1739993724940.jpg
1739993717913.jpg

Hapo ukifikiria vizuri hawa watu watakuwa na shida ya macho huenda wanaugonjwa wa kutokuona vitu vya karibu

Au pengine hawafikirii vizuri aoutput ya video na ukubwa wa wachezaji kwenye TV

Ile crew inayo kaa kwenye lile bus la kuchanganya picha na Director wake hivi huwa haoni huu utumbo?


Tunalipia elfu 28 kwa mwezi lakini hawatutendei haki watazamaji


Mzee bakhresa, Yusuph Bakrehsa kama utaupata huu ujumbe tunaomba uufanyie kazi hili jambo


Nawasilisha.
 
Tuanze na waamuzi, penati ya zote alizopiga Ahoua zilikuwa na utata, red card ndo staki kabisa kuongelea.
 
Habari wakuu,

Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje!

Unasubiri replay, napo unaona video nzuri lakini wachezaji wanaonekana kama sisimizi huwatambui vizuri licha ya kuwa unamiliki TV inch 72 full HD😡

Mfano goli la Selebwenzi alofungia kati kati ya uwanja, goli la Dogo wa KMC akiwafunga Yanga, Goli la Sowah akiwafunga yanga , Tukio la jana la mchezaji wa Namungo kupigwa Red card ile video replay hata haieleweki slow motion yenyewe haieleweki mpaka mtizamaji unashindwa kujua kinachoendelea mpaka tuanze kuulizana, mbaya zaidi wachambuzi wa makao makuu nao ile replay hawaioni vizuri bsdala yake inawabidi watumie akili ya kuzaliwa waanze kuchambua kwa kutumia body language kuwa mchezaji kaweka mikono kichwani maana yake anajua alichokifanya hapa ilitakiwa Azam media mtuonyeshe tukio kwa usahihi

Yaani video replay na live footage haionyeshi kwa ukaribu, video zinakua ndogo wachezaji kama sisimizi, replay yenyewe haieleweki


Licha ya kuwa na vifaa bora nadhani shida ipo kwa watu wanaovitumia hivyo vifaa

Tizama hapa umbali ambao camera zimewekwa na hawa wataalam
View attachment 3242494View attachment 3242495
Hapo ukifikiria vizuri hawa watu watakuwa na shida ya macho huenda wanaugonjwa wa kutokuona vitu vya karibu

Au pengine hawafikirii vizuri aoutput ya video na ukubwa wa wachezaji kwenye TV

Ile crew inayo kaa kwenye lile bus la kuchanganya picha na Director wake hivi huwa haoni huu utumbo?


Tunalipia elfu 28 kwa mwezi lakini hawatutendei haki watazamaji


Mzee bakhresa, Yusuph Bakrehsa kama utaupata huu ujumbe tunaomba uufanyie kazi hili jambo


Nawasilisha.
Nadhani itakuwa aina ya camera
 
Mkiambiwa acheni kujenga maviwanja yenye ma running tracks ambazo kwanza hamzitumiii hamtaki kuelewa.

Pia viwanja vyote ukiacha wa Mkapa vinatumia taa za ulinzi na siyo taa sahihi za kuonyesha mechi za usiku katika kiwango sahihi.
 
Mkiambiwa acheni kujenga maviwanja yenye ma running tracks ambazo kwanza hamzitumiii hamtaki kuelewa.

Pia viwanja vyote ukiacha wa Mkapa vinatumia taa za ulinzi na siyo taa sahihi za kuonyesha mechi za usiku katika kiwango sahihi.
Acha uongo
 
Mkiambiwa acheni kujenga maviwanja yenye ma running tracks ambazo kwanza hamzitumiii hamtaki kuelewa.

Pia viwanja vyote ukiacha wa Mkapa vinatumia taa za ulinzi na siyo taa sahihi za kuonyesha mechi za usiku katika kiwango sahihi.
Aisee umeongea kitu cha maana Sana. Hivi running track zina kazi gani aiku hizi?
 
Running tracks sioni umuhimu wake. Kwanza ni kunyima mashabiki waliofika viwanjani fursa ya kuona vizuri kwa ukaribu mechi
 
Nadhani bado ni mapema sana kuwalaumu Azam kwa mapungufu ya picha kwa baadhi ya mechi,kama uko makini utagundua changamoto ipo kwenye production za mikoani, ambayo huenda inatokana na kuwa ofisi kuu ipo Dar na hulazimika kubebana na mitambo kwenda mikoana na huenda inashindikana kubebana na vifaa vyote hitajika tofauti na kama mechi inafanyika Dar. Hayo ndio maoni yangu
 
Mkiambiwa acheni kujenga maviwanja yenye ma running tracks ambazo kwanza hamzitumiii hamtaki kuelewa.

Pia viwanja vyote ukiacha wa Mkapa vinatumia taa za ulinzi na siyo taa sahihi za kuonyesha mechi za usiku katika kiwango sahihi.
Una hoja, usikilizwee.
 
Wazee mnataka teknolojia ya Bein Sport au Sky Sport kwa kifurushi cha 26? Ah Wazee masihara hayo!
 
Back
Top Bottom