Azam media na NBC amkeni kwenye usingizi. TFF, bodi ya ligi na kamati ya waamuzi inawaharibia biashara

Azam media na NBC amkeni kwenye usingizi. TFF, bodi ya ligi na kamati ya waamuzi inawaharibia biashara

Morning Glory1

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2019
Posts
237
Reaction score
381
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
 
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
🤣🤣🤣 kwan wao watafanyaje kkubwa kama hawazurki kweny faida wao wanafanya biashara aya ya refa kuona mpira upo golini wakat n umetoka awawez kuingilia ipo mbali na uwezo wao
 
Acha wewe kuangaliaaa...
Mkinya nyieee aaaah kinanuki wenzenu haaaaa
 
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
hamkeni..😆😆
halivyoboronga..😆😆
 
Hayo yatapita. Maluwe luwe kwenye hii ligi hayajaanza leo. Nyinyi mashabiki maandazi mnapiga kelele endapo tu timu zilizofaidika na maamuzi mabovu sio zile mnazoshabikia. TFF wanawaacha tu mpige makelele wanajua mtanyamaza tu matimu yenu yakifaidika na ujinga.Ligi ya hovyo hii na wasipoangalia itakuwa kama bongo movie
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mi nishaachana na kuangalia huo UOZO lipieni nyie
 
Kusema ule ukweli mwamuzi wa mechi ya Namungo vs Simba anastahili kabisa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa kuharibu mchezo wa leo. Amewaonea sana Namungo.
 
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
Ndo maana wakajiongeza wanaonyesha na ligi zingine kama serie A na Laliga
 
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
Ebwana Kiongozi , kama kweli unauza kisimbuzi chako, naomba uniuze mimi. Hii ni seriuos Mkuu. Tuwasiliane kwa PM.
 
Sijui mnapata wapi nguvu ya kuangalia ligi ambayo wamacheza kama watoto wa nursery
Nimeanza kuwaelewa waliokua wanaifananisha AZAMtv na DSTV...watu wa DSTV mnaenjoy sana boli sisi uku ni mauzazuza...nimetangaza kuuza kisimbuzi changu rasmi tena kwa bei ya kutupa siwezi kuvumilia kuendelea kuangalia uchafu
 
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu

Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa penati tatu kwa simba ambazo zilikua nyepesi sana...maamuzi mabovu uwanjani halafu leo Azam media unawezaje kumshawishi mteja kulipia 28,000 yake kuangalia uchafu kama huu.

100% ya ligi yetu imejaa viashiria vya wazi vya rushwa.AZAM MEDIA na NBC mmeweka pesa zenu nyingi sana lakini ubora wa ligi unazidi kushuka kila siku.Bodi ya ligi haina meno na kamati ya waamuzi hakuna cha maana inachokifanya.

Mimi binafsi nimeanza kujuta kwanini niliamua kuichagua Azam dhidi ya visimbuzi vingine na siwezi kuendelea kuvumilia kuangalia huu uchafu ni bora niuze kisimbuzi changu kama hatua za haraka hazitachukuliwa

Ni watu wa mpira peke yao ndo watakubaliana na mm ila mashabiki maandazi lazima watapingana na mimi
Mkuu bodi ya ligi na tff walishabariki hili jambo la waamuzi kwasababu sio kwamba awaoni kinachoendelea,,ni maajabu sana timu kama Simba eti isubilie kupewa penalty za mchongo na red card ya ajabu ajabu ndio ishinde mechi Tena dhidi ya timu kama namungo ni aibu!!
Sasa kwakuwa wameamua iwe ivyo Wacha twende hivyo hivyo tutafika
 
Back
Top Bottom