Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

Usiwalalamikie Azam,jitafakari mwenyewe we ni shabiki wa aina gani timu yako ikicheza mida fulani huwezi kwenda kuingalia?

Saa moja sio usiku wa kushindwa kwenda na familia taifa kuangalia mpira

Kuna mashabiki maarufu wa Yanga na Simba timu zao ziende popote wakati wowote na wao wapo si sikukuu si mchana/usiku si mvua/jua

Azam anajua udhaifu wenu ndo maana anawakomesha,shabiki wa mpira hutakiwi kuhoji vitu vya ovyo km ivyo,kama kweli we shabiki wa mpira utaenda uwanja any time.Mtu mzima kila siku kwake inaweza kuwa sikukuu hizi Christmas,mwaka mpya na Eid waachieni watoto.

Siku Azam Media wakizuia mashabiki wasiende viwanjani ndo tutaunga mkono hizi hoja lkn hakuna namna ambayo Azam wamekuzuia usiende uwanjani ni wewe tu kwamba sio shabiki kweli wa timu yako na mpira kwa ujumla

WACHA AZAM WATUMIE UDHAIFU WENU MASHABIKI KUTENGENEZA PESA KUPITIA VING'AMUZI.NO EXCUSE SAA MOJA UNAANGALIA YANGA TAIFA SAA TATU NDO MIDA MIZURI YA KWENDA BATANI AU KULALA
Akili yako ndogo sana. Mtoa ameainisha vzr sana makundi ambayo yanaathirika na muda huo wa usiku. Msome tena pengine akili yako itafunguka
 
Chunguza vzuri ratiba ya Mechi kipindi cha nyuma siyo kama sasa. Kwa sasa Mechi inaaanza saaa 3 usiku zamani ilikuwa hivyo?? Unadhan Wale maafisa Masoko wa Azam Media unalingana nao uwezo wa kufikiri Mkuu. Huwezi jua kile wamelenga kwa upeo wako wewe
miaka 20 nyuma Azam hakuwepo.
CLUB zilikuwa zinaingiza kiasi gani kupitia mapato ya uwanjani?
na je mpaka Sasa club zimefaidika vipi na viingilio wakati azam hakuwepo?
 
Kwa post hii mimi wa kijijini nimepata picga kuwa Dar ni sehemu ya kishamba sana. Yaani saa 3 mtu wa Dar aanakosa usafiri. Yaani saa 3 watu wanakabwa na kubakwa huko Dar?
Kijijini kwetu huku Mweka Kibosho walau saa 9 au 10 usiku ndio tunaweza kusikia matukio kama hayo.
Basi sasa nimegundua mnaotoka Dar kuja kijijini huwa mnatujaza sana mnapotuambia kuwa Dar watu hawalali.
Hawalali ndio mana wanakabana na kubakana muda wowote kuanzia saa moja usiku
 
Wadau hili suala la Azam kubaka ratiba ya NBC PREMIER LEAGUE naona limestua wadau wameanza kufikiria pia warusha matangazo ya Ligi kuwa zaidi ya media moja ili kuondoa huu Ubabaishaji wa Azam Media
 
Back
Top Bottom