Azam Media na TFF wamekuwa na mchango mkubwa wa kuvuruga soka letu na hii dhambi hawatoikwepa

Mkataba wa Azam na TFF unasema Azam TV lazima aonyeshe mechi zote,ni mechi ngapi ambazo zilihairishwa na bado zilionyeshwa na Azam TV
Nyingi tu Azam hawaonyeshi lakini naona watu wamekaa kimya, msimu ujao wapigwe chini tu wapewe DSTV
 
Sababu ya game ya Kagera kutoonyeshwa wanadai haikuwa kwenye ratiba sio hizo sababu unazoandika wewe,ni mechi ngapi hazikuwa kwenye ratiba na zimeonyeshwa ?

Kutokuwa kwenye ratiba kunatokana na hizo sababi hapo juu... Nilizo zitanabaisha!

Hawawezi wakaiweka game kaa ile kwenye ratiba yao wakati hapo hapo LaLiga Atletico anacheza na Sevilla.. Au APR anacheza na Marine FC.
 
Kutokuwa kwenye ratiba kunatokana na hizo sababi hapo juu... Nilizo zitanabaisha!

Hawawezi wakaiweka game kaa ile kwenye ratiba yao wakati hapo hapo LaLiga Atletico anacheza na Sevilla.. Au APR anacheza na Marine FC.
Be serious mechi za Liga zinachezwa usiku sio mchana so hicho sio kisingizio hakina na sidhani kama kuna watanzania wamelipia Azam ili waangalie game za URA au PR
 
Kutokuwa kwenye ratiba kunatokana na hizo sababi hapo juu... Nilizo zitanabaisha!

Hawawezi wakaiweka game kaa ile kwenye ratiba yao wakati hapo hapo LaLiga Atletico anacheza na Sevilla.. Au APR anacheza na Marine FC.
huuu ndio utetezi wa kutokwenda hata kurekodi match husika?
 
Mimi nafikiri hapa tatizo tuwalaumu TFF kwa kuto kuwa na kumbukumbu... AZAM mpaka hapa walicho kifanya kwa soka letu Azam kwa pesa waliyo itoa ina endana na soka letu...

AZAM hawawezi kuonyesha mechi zote ikianfalia wana channel moja inayo rusha..tofauti na wenzetu wakuna Super sport au being sport hawa wana channel nyingi za michezo........

AZAM niwafanya biashara Kagera vs A.Lyon unakuta inagongana na mechi kama ya simba vs mbao... Lazima Azam watarusha mechi ya Simba kutokana na wingi wa watu watakao angali......
 
ska
Mnajiabisha wenyewe pamoja na kusajilia maproo bado mnataka matokea ya mezani
 
Azam Media unataka kuwaonea bure kabisa.Mechi ya Kagera na African Lyon ilichezwa kwa ombi la African Lyon tarehe tofauti na ratiba ya Azam media kwa ombi maalumu. Azam kwa hili hawahusiki kabisa.
 
Mleta mada tatizo umekuja na mhemuko kama mada zako za siasa juu ya upinzani! Mpira hauongozwi wala kuamuliwa kwa mihemko bali taratibu, kanuni na sheria. Juu ya suala hili kabla hata ya azam mtu wa kwanza hapo mwenye jibu sahihi ni mechi kamishina maana ndiye ana andaa lipoti ya mechi yoote tangu mwanzo hadi mwisho baada ya hapo ndipo tunaangalia mambo mengine ya kiushahidi. Kwangu naona wa kwanza kuuliza ni mechi kamishina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…