Azam Media yapata haki za kuonesha Ligi Kuu ya Hispania

huu ndi uwekezajiwa tv uliotakiwa kufanywa toka mwanzo sio vitv vinajiita super brand halafu hawana chochote ila kama wanaweza kulipa bei ya kuonyesha laliga waongeze udhamini wao kwa ligi ya nyumbani ukeli wanawanyonya sana
 
ivi naweza nunua decoda ya azam dish nikatumia la dstv?majibu tafadhali.

Unaweza mkuu ila tatizo utapata tabu kwenye signals sababu dish la dstv lina diameter ndogo.
Naomba wajuzi zaidi wa haya mambo waje wafafanue vizuri mshanajr
 
Last edited by a moderator:
huu ndi uwekezajiwa tv uliotakiwa kufanywa toka mwanzo sio vitv vinajiita super brand halafu hawana chochote ila kama wanaweza kulipa bei ya kuonyesha laliga waongeze udhamini wao kwa ligi ya nyumbani ukeli wanawanyonya sana

acha kubwata wewe , awali ni awali tu!
 
Sasa mboreshe tuu uwajibikaji wenu kama wazungu,mfano kitengo chs ratiba za vipindi wanajisahau sana kuhabarisha vipindi mbalimbali AZAM Two,Haule Tanga
 
[QUOTE=rodrick alexander;lakini ligi kwanza au vilabu viboreshe performance then tudai udhamini,huwezi kumlipa MTU PESA wakati KAZI haieleweki
 
vipi wameshatoa gharama za kifurushi cha kuangalia la liga live?
 
AZAM ina channel mbili tu..sasa itawezaje kuonesha mechi zote..acheni uongo..
 
Zipo 4
-azam info
-azam one
-azam two
-azam sinews zetu.
 
Wooooow!!!hii ni habari njema sana kwangu mimi mpenzi wa la liga,dstv bye bye,nilikuwa bado natafakari hii 200,000 yao nitakuwa nailipaje.well done Azamtv.sasa nimeamini mmeamua na mmedhamiria kweli kumtimua beberu.

Usidhani kwamba wakionyesha la liga utaendelea kulipa kiduchu! Lazima watapandisha being sana tu! Hawakupewa hiyo haki bure! watalipia mamilioni ya dola na mwisho wa siku mlaji wa mwisho ndiye atakayelipia gharama hizi ikiwa ni pamoja na faida juu take maana azam anafanya biashara! Jipange kulipia zaidi karibu sawa tu na DSTV, japo haitafikia gharama ya DSTV maana EPL league iko juu zaidi.
 
Kibaya wametangaza mno mpaka preseason matches wataonyesha live kutoka TV za klab kkumbe hamna lolote jambo zuri wanalolenga ila wawe wanatuonyesha kile walicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…