Azam mmejitahidi sana kwenye Mechi ya Ufunguzi AFL

Azam mmejitahidi sana kwenye Mechi ya Ufunguzi AFL

Naunga mkono hoja yako hata ukifuatilia HD ya chanel iliyokuwa inaonyesha La Liga ilikuwa fantastic. Achukue watalaam awasomeshe baadae wakatane kwenye mishahara

Kwa nini wakatane kwenye mshahara? Mwambie awekeze kwa kuwawezesha wapate elimu ama lah achukue wenye hizo experience.

Sisi walaji tunahitaji quality tu, sio kuweka cheap labor wasio zalisha vitu vyenye ubora. Kama mwajiri ahakikishe anaipa brand kampuni yake.
 
Kwa nini wakatane kwenye mshahara? Mwambie awekeze kwa kuwawezesha wapate elimu ama lah achukue wenye hizo experience.

Sisi walaji tunahitaji quality tu, sio kuweka cheap labor wasio zalisha vitu vyenye ubora. Kama mwajiri ahakikishe anaipa brand kampuni yake.
Usisahau yule ni Kanjibhai kukupa maarifa bure sidhani kama anaweza
 
Quality ilikuwa poa sana wenyewe wanasema wao ndio walihusika zaidi na sio wafaransa hata sauti ilikuwa nzuri
Ila mi naamini wafaransa waliweka input kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom