Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiachana na ushirikina na wanawake wazee kitu gan kingine unaweza?
yanga anajua sana.Uwanja wa Chamazi sio mali yenu tena, mliowakaribisha hadi jikoni wameshauharibu uwanja huo, ndio maana wenzenu wameuchagua uwanja wa chamazi kama home ground, yaani Yanga wacheze uwanja wa chamazi washinde halafu nyie muondolewe mashindanoni, hamshtuki tu...
KatolewaAzam kafanywa nini
Kama uchawi ungekua unacheza, Simba angekua bingwa wa mashindani yanayo andaliwa na Caf.Uwanja wa Chamazi sio mali yenu tena, mliowakaribisha hadi jikoni wameshauharibu uwanja huo, ndio maana wenzenu wameuchagua uwanja wa chamazi kama home ground...
Nakazia [emoji16][emoji28]Rage ajengewe sanamu DP World
Kwa heshima ya Legend Magufuli naomba ubadili hiyo ID yako ewe MBUMBUMBUUwanja wa Chamazi sio mali yenu tena, mliowakaribisha hadi jikoni wameshauharibu uwanja huo, ndio maana wenzenu wameuchagua uwanja wa chamazi kama home ground, yaani Yanga wacheze uwanja wa chamazi washinde halafu nyie muondolewe mashindanoni, hamshtuki tu.
Uwanja wenu kwa taarifa yenu waganga wao wameshauchukua na kesho asbh wataurudisha baada ya kuuchezea mchezo mchafu, nyie Leo mlikuwa mnacheza kwenye uwanja wao wa kigamboni.
Hao mliowakaribisha chamazi kuutumia uwanja wenu watawaponza nawaambia, wameshaufanya uwanja huo kuwa mali yao.Wanajua wapi pa kutupa hirizi wap pa kuacha.
Kazi kwenu.
Badala ya kuja siyo niachane tu na Mpumbavu Wewe?Mashabiki ya Simba yanawaza ulozi tu... GENTAMYCINE njoo chukua mjinga mwenzako.😅
Dooh wat a punch [emoji109] [emoji38]Kama uchawi ungekua unacheza, Simba angekua bingwa wa mashindani yanayo andaliwa na Caf.
Maana Simba ndio timu iliyo thibitishwa na Caf kama klabu kinara wa ushirikina barani Afrika.