RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Ndio jf ni biashara ya mtu na ndio maana unafuata masharti yao ukienda kinyume na masharti yao unapigwa ban.Kumbuka hata jamiiforum ni biashara ya mtu! Unaweza kujifanya mjuaji kumbe ndo lyapukile kabsa
Kwahiyo kama jf ilivyo biashara ya mtu na ameiwekea mashariti basi na azam wana haki ya kuweka masharti wanayo yaona ni sawa kwao na si kwako.