5-0Ngapingapi gem
Bado kocha wao yupo?Azam wamejipata, wanashinda na bado wanaonekana wana njaa ya ushindi,
Zamani walikuwa wakifunga moja wana relax, saizi wanakupiga 3 na wanakusaka
Azam huwa inatafuta kipi ligi kuu tofauti na kuibania Simba huku akiishia kuitafuta shirikisho kwa mbinde?.Kumbe jidanganye