Azam ni timu iliyopoteza mwelekeo

Azam ni timu iliyopoteza mwelekeo

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati.

Hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tishio kwenye ligi.
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati ,hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tisho kwenye ligi.
Hawa Namungo wamedhaminiwa Azam,vip hawa nao ni tawi la Azam FC?
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu.. .
Kinachoiponza Azama ni kwamba haitoi rushwa kwa wachezaji wa timu pinzani.

Huwezi ukaona mchezaji wa timu inayocheza na Azam analazimisha apewe kadi nyekundu
 
Kinachoiponza Azama ni kwamba haitoi rushwa kwa wachezaji wa timu pinzani. Huwezi ukaona mchezaji wa timu inayocheza na Azam analazimisha apewe kadi nyekundu
Hata kama hawatoi bahasha lakini Azam kifedha ipo juu sana wanaweza kufanya usajili wa maana, wana vitendea kazi,uwanja wao na n.k kuliko timu zingine,hii timu kwa uchumi wao wangekuwa na uwezo wa kuwa na kikosi hatari sana hata bahasha hazina maana.
 
Ingekuwa ni Yanga wangelalamika wanakamiwa
Nimekuuliza unayesemaga kwa timu zinazo dhaminiwa na GSM mwamba matawi ya Yanga.

Haya Namungo huyo hao mmiliki wa Azam FC ndiye mdhamini mkuu wa Namungo, kupitia bidhaa yake ya Azam Max, vipi Namungo nae ni tawi la Azam?
 
Nimekuuliza unayesemaga kwa timu zinazo dhaminiwa na GSM mwamba matawi ya Yanga. Haya Namungo huyo hao mmiliki wa Azam FC ndiye mdhamini mkuu wa Namungo, kupitia bidhaa yake ya Azam Max,vipi Namungo nae ni tawi la Azam?
Bakhresa ipo fair, haijaingia udhamini na timu kwa nia ovu ya kuihonga. hao wengine ndio kama mlivyoona, mchezaji anajipa kadi nyekundu
 
Nimekuuliza unayesemaga kwa timu zinazo dhaminiwa na GSM mwamba matawi ya Yanga. Haya Namungo huyo hao mmiliki wa Azam FC ndiye mdhamini mkuu wa Namungo, kupitia bidhaa yake ya Azam Max,vipi Namungo nae ni tawi la Azam?
Tofautisha Azam na Namungo, Miamba ya figisu inajulikana kwenye ligi ni miwili kila mtu na janja janja yake ila siyo kwa hizo timu zingine
 
Tofautisha Azam na Namungo, Miamba ya figisu inajulikana kwenye ligi ni miwili kila mtu na janja janja yake ila siyo kwa hizo timu zingine
Kwa hiyo kwa Azam hata akidhamini timu tofauti tofauti ni sawa?

Ila kwa GSM si sawa?

Yaani ni sawa na kusema una aleji ya nyama ya ng'ombe ila mchuzi wake unakunywa.
 
Bakhresa ipo fair, haijaingia udhamini na timu kwa nia ovu ya kuihonga. hao wengine ndio kama mlivyoona, mchezaji anajipa kadi nyekundu
Umejuaje?Je unaushahidi wa Yanga kuhonga?

Mchezaji anajipaje kadi nyekundu? Inamaana kipindi kile Kanoute alikuwa akijipa yy mwenyewe kadi nyekundu?
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati ,hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tisho kwenye ligi.
Mungu akupi vyote....
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati ,hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tisho kwenye ligi.
Laana ya kuikamia Yanga Africa na kuwalegezea Madunduka sc.
 
Kwa hiyo kwa Azam hata akidhamini timu tofauti tofauti ni sawa?

Ila kwa GSM si sawa?

Yaani ni sawa na kusema una aleji ya nyama ya ng'ombe ila mchuzi wake unakunywa.
GSM aliletwa kwanza kama mdhamini mwenza kwenye ligi na TFF wakasema mkataba usihojiwe,kelele ilipopigwa mbona hawakuendelea?una timu kwenye ligi na unataka udhamini wengine? Usione watu ni wajinga bhana!
 
Kinachoiponza Azama ni kwamba haitoi rushwa kwa wachezaji wa timu pinzani. Huwezi ukaona mchezaji wa timu inayocheza na Azam analazimisha apewe kadi nyekundu
Kama yule wa pamba leo
 
GSM aliletwa kwanza kama mdhamini mwenza kwenye ligi na TFF wakasema mkataba usihojiwe,kelele ilipopigwa mbona hawakuendelea?una timu kwenye ligi na unataka udhamini wengine? Usione watu ni wajinga bhana!
Hujanipa utofauti wa udhaminu wa Namungo na Azam na GSM kwa timu nyingine.

Huo mkataba uliona au hisia? Haya Azam wanaongoza moja,vipi Azam washapitisha bahasha baada ya kuona mambo magumu....?
 
Back
Top Bottom