Azam ni timu iliyopoteza mwelekeo

Azam ni timu iliyopoteza mwelekeo

Kinachoiponza Azama ni kwamba haitoi rushwa kwa wachezaji wa timu pinzani. Huwezi ukaona mchezaji wa timu inayocheza na Azam analazimisha apewe kadi nyekundu
Salehe ni Simba damu danu na alipewa pesa na Nguruwe FC awaumize mabeki angalau wawili wa Utopolo !
 
Kadi ya kupambania timu na kadi ya kujipa zote zinaonekana bayana maana soka ni mchezo wa hadharani
Sawa kwa hiyo Kanoute alipewa chumbani sio hadharani?

Au kadi ya kuipambania timu na amabayo si ya kuipambania unaipimaje?
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati.

Hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tishio kwenye ligi.
Wamuondoe mkurugenzi wa ufundi
 
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.

Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata nafasi za juu hawezi kugombania atabaki kwenye nafasi za kati.

Hii timu imedumaa,haina morali haiwezi kuleta jipya zaidi ya hapa. Azam wameshajaribu kula njia ila wanafeli sidhani kama itakuwa timu tishio kwenye ligi.
Azam fc, Azam ni taasisi
 
Kinachoiponza Azama ni kwamba haitoi rushwa kwa wachezaji wa timu pinzani.

Huwezi ukaona mchezaji wa timu inayocheza na Azam analazimisha apewe kadi nyekundu
Hata penalty marefa hawatoi
 
Ile njemba ya Pamba jiji jana ilitafuta kadi nyekundu kwa udi na uvumba....😃😃😃😄😄😄😄
 
Azam fc makocha na wachezaji hakuna tatizo kabisa
Tatizo ni utawala wa hii timu na nyakati zote wanaambiwa Hilo suala hawataki kulichukulia hatua

mwenye timu Kuna watu anawaamini na wamepewa nyadhifa kuiongoza timu wameshindwa na mifumo walio nayo na hili tatizo Azam wenyewe "hawajui kuwa hawajui"

Kuanza upya sio ujinga kujifunza Kwa walio fanikiwa sio kosa

Technolojia inauzwa usiseme wenzetu ni magineus wamegudua kitu Fulani na sisi tungundue cha design yetu kuwapiku Simba na yanga zimewahi kuleta vichwa vya kuwasaidia kutoka nje na wakafanikiwa Sasa hivi wanaishi kutokana na ile elimu walioachiwa

Sasa hivi wachambuzi WA michezo wakianza kuzungumza kuhusu Azam wakija wasemaje wao inakuwa kizaa zaa ni kama wanatishiwa Kwa namna Moja au nyingine
 
Lakini ni kama Kila mechi wanashida siku hizi.
Wanajitahidi. Japo ubingwa bado kuna vigogo wawili wamekita mizizi. Na sasa kuna kigogo mmoja ambaye amevunja kibubu hivi karibuni na kuwapa thank you wachezaji wengi anaonekana kuwa tishio.
 
Back
Top Bottom