Azam pesa kunashida kwenye kutoa pesa kupitia mawakala

Azam pesa kunashida kwenye kutoa pesa kupitia mawakala

EXODUS ZION

Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
95
Reaction score
149
Ndugu zangu habarini samahani hivi ni mimi peke yangu huku ninako ishi ni kwamba azam pesa mawakala wake wananigomea au na kwenu.

Lakini nipende kuwapongeza Azam pesa tje way inavyofanya kazi kwa upande wa kutuma pesa hasa katika makato sio makubwa ila sasa shida inakuja kwenye kutoa pesa kupitia mawakala wa Azam pesa nimejaribu almost ma wakala 7 wote wanagoma ikanibidi nimuulize mmoja akanambia "Hatuwezi kufajya kazi ya kumnufaisha mtu" mwingine akasema kwamba commission zao hazitoki moja kwa moja kutoka kwa wamiliki wa Azam pesa
 
Duh aiseee sijaelewa. Umewasifia wee kisha ukaeleza shida yako kwani huwa unatoaje mpaka leo wakugomee?
Ndugu zangu habarini samahani hivi ni mimi peke yangu huku ninako ishi ni kwamba azam pesa mawakala wake wananigomea au na kwenu.......
Lakini nipende kuwapongeza azam pesa tje way inavyofanya kazi kwa upande wa kutuma pesa hasa katika makato sio makubwa ila sasa shida inakuja kwenye kutoa pesa kupitia mawakala wa azam pesa nimejaribu almost ma wakala 7 wote wanagoma ikanibido nimuulize mmoja akanambia "Hatuwezi kufajya kazi ya kumnufaisha mtu" mwingine akasema kwamba commission zao hazitoki moja kwa moja kutoka kwa wamiliki wa azam pesa
 
Ndugu zangu habarini samahani hivi ni mimi peke yangu huku ninako ishi ni kwamba azam pesa mawakala wake wananigomea au na kwenu.

Lakini nipende kuwapongeza Azam pesa tje way inavyofanya kazi kwa upande wa kutuma pesa hasa katika makato sio makubwa ila sasa shida inakuja kwenye kutoa pesa kupitia mawakala wa Azam pesa nimejaribu almost ma wakala 7 wote wanagoma ikanibidi nimuulize mmoja akanambia "Hatuwezi kufajya kazi ya kumnufaisha mtu" mwingine akasema kwamba commission zao hazitoki moja kwa moja kutoka kwa wamiliki wa Azam pesa
Wabongo mnavyopenda vitu vya bure
 
Ndugu zangu habarini samahani hivi ni mimi peke yangu huku ninako ishi ni kwamba azam pesa mawakala wake wananigomea au na kwenu.

Lakini nipende kuwapongeza Azam pesa tje way inavyofanya kazi kwa upande wa kutuma pesa hasa katika makato sio makubwa ila sasa shida inakuja kwenye kutoa pesa kupitia mawakala wa Azam pesa nimejaribu almost ma wakala 7 wote wanagoma ikanibidi nimuulize mmoja akanambia "Hatuwezi kufajya kazi ya kumnufaisha mtu" mwingine akasema kwamba commission zao hazitoki moja kwa moja kutoka kwa wamiliki wa Azam pesa
Sheikh hiyo pesa ulitaka kwenda nao bar au guest nini wale jamaa madude yao yanamachale sana..!
 
Nimetafuta njia ambayo ni sahihi na salama kuweka pesa
Ndio maana kuna kusuka na kunyoa mzee chaguo ni lako
Lakini piah tufanue hivi sawa
Kwamba ukiweka pesa kwenye hiyo mitandao mikubwa sio njia sahihi hadi uhangaike kutafuta mtandao mchanga hata lain hauna
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Sipo hapa kuharibu biashara yao ila kwa tafiti yangu ndogo ndani ya muda mfupi malalamiko ni mengi sana kuhusu azam pesa, msijichanganye.
Mimi business model yake sjaielewa, haiwezekani utumie kwenye miamala kama mitandao mingine kwa makato nafuu huku ukitumia laini za watu wengine, nipo tayari kusikiliza
 
Mimi business model yake sjaielewa, haiwezekani utumie kwenye miamala kama mitandao mingine kwa makato nafuu huku ukitumia laini za watu wengine, nipo tayari kusikiliza
Changamoto yao kubwa ni makato na upotevu wa fedha bila ya taarifa.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Back
Top Bottom