AZAM: Pongezi Kwa kutuletea mechi Mubashara Taifa Stars vs Kongo,Wengine waige!

AZAM: Pongezi Kwa kutuletea mechi Mubashara Taifa Stars vs Kongo,Wengine waige!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
 
"MUMBU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !"

Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah fyi.
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUMBU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
Watanganyika Hamjui mpiraaa mutafungwa sana sana ,ongezeni wachezaji wengi kutokana Znz wacheni roho mbayaa.
 
Watanganyika Hamjui mpiraaa mutafungwa sana sana ,ongezeni wachezaji wengi kutokana Znz wacheni roho mbayaa.
1. Mudadhir Yahya.
2. Feisal Salum

Kama wapo , naomba majina yao na namba za watsu na timu wanazochezea tumpe kocha Morocco, japo wakija bara mademu wana waharibu.
 
1. Mudadhir Yahya.
2. Feisal Salum

Kama wapo , naomba majina yao na namba za watsu na timu wanazochezea tumpe kocha Morocco, japo wakija bara mademu wana waharibu.
Refer/Znz Heroes na kilimanjaro stars nafikiri hicho ni kipimo tosha .Wapo wachezaji kibao.
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
Kwahiyo Tanganyika ikiwa saa moja jioni huko Kinshasa DRC ni saa tatu usiku?

Kwamba siku hizi majira yamebadilika kiasi hicho? Ninavyofahamu Tanganyika tumewaacha nyuma sio chini ya lisaa limoja kwa maana Tanganyika tupo mbele kwa saa moja zaidi ya Congo.
 
Kwahiyo Tanganyika ikiwa saa moja jioni huko Kinshasa DRC ni saa tatu usiku?

Kwamba siku hizi majira yamebadilika kiasi hicho? Ninavyofahamu Tanganyika tumewaacha nyuma sio chini ya lisaa limoja kwa maana Tanganyika tupo mbele kwa saa moja zaidi ya Congo.
Kinshasa wako kwenye GMT+1 time zone....Tanganyika iko GMT+3.....Hivyo tuko mbele yao kwa masaa 2.....
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
Eti kama si Azam tusingeona mechi .... Wewe tunaishi kwenye zama za UJIMA ..... Mbona streaming sites ni nyingi sana.....
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
TBC ni tv ya CCM mkuu
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
Hujui unaloliandika. Hiyo ni biashara. Rubbish
 
"MUMBU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !"

Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah fyi.
Utukufu na Ukuu wa Mungu, u-na yeye milele na milele hallelujah.
Namshukuru Mungu kwaajili yako na yangu kwa zawadi ya uhai na afya anazotujalia bure daima.

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na viongozi na wananchi wote Tanzania, katika kazi na majukumu yetu muhimu ya kila siku.

Namuombea Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu na wasaidizi wake, afya njema, bidii na maarifa zaidi katika kuliongoza Taifa kwa haki, usawa, uhuru na Amani..

Namshukuru Rais kwa niaba ya wanamichezo Tanzania, mchango wa Rais katika kuboresha sekta ya michezo mbalimbali nchini. Kipekee namshukuru kwaajili ya kampeni ya goli la mama, kwa timu zetu nchini zinazoshiriki mashindano ya kimataifa. Hii imeleta ari na imehamasisha sana wananchi na waTanzania wote kupenda timu za ndani ya nchi yao..

Asanti kwa vyombo vya habari vya umma na vile vya kibinafsi, kwa kurusha matangazo mubasha ya mechi ya Taifa Stars na DRC, kwa hakika waTanzania wamepata kujua jinsi timu yao ya kizalendo, ilivyo imarika vizuri hivi sasa..

Asanti TBCTaifa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
"MUMBU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !"

Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah fyi.
Utukufu na Ukuu wa Mungu, u-na yeye milele na milele hallelujah.
Namshukuru Mungu kwaajili yako na yangu kwa zawadi ya uhai na afya anazotujalia bure daima.

Neema na Baraka za ziambatane na kuandamana na viongozi na wananchi wote Tanzania, katika kazi na majukumu yetu muhimu ya kila siku.

Namuombea Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu na wasaidizi wake, afya njema, bidii na maarifa zaidi katika kuliongoza Taifa kwa haki, usawa, uhuru na Amani..

Nashukuru kwa niaba ya wanamichezo Tanzania, mchana wa Rais katika kuboresha sekta ya michezo mbalimbali. Kipekee namshukuru kwaajili ya goli la mama, kwa timu zetu nchini zinazoshiriki mashindano ya kimataifa. Hii imeleta ari na imehamasisha sasa wananchi kupenda timu ndani ya nchi yao..

Asanti kwa vyombo vya habari vya umma na vile vya kibinafsi, kwa kurusha matangazo mubasha ya mechi ya Taifa Stars na DRC, kwa hakika waTanzania wamepata kujua jinsi timu yao ya kizalendo, ilivyo imarika vizuri hivi sasa..

Asanti TBCTaifa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC.
Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa Kitanganyika wanajidanganya na timu zao za Simba na Yanga na kwamba kama TFF wangeruhusu wachezaji 20 wa kigeni basi Simba na Yanga zingesajili wachezaji wote wa Kigeni.

UBORA WA PICHA.
Azam waliweka watangazaji wa kifaransa, na picha mbaya sana, hapo Azam walijitahidi sana na sisi wazalendo tunawapongeza sana, kama ytuna televisheni ya taifa ambayo hata tangazo la timu ya taifa hawaweki, kama tuna redio za tafa ambazo hata kutangaza hawatangazin, AZAM ni mfanya biashara bimafsi na hana ruzuku hivyo kwa alichofanya amejitahidi sana.
Bhakhresa binafsi huyu jamaa ni mzalendo namba mbili ukiachilia mbali rais ambaye ndiye anasimamia nchi.

MUNGU ANA WIVU:Mungu hata sikumoja hagawani utukufu na wanadamu, Kufungwa kulikuwa pale pale na tutaendelea kufungwa maana kuna MACHAWA timu ikishinda badala wampongeze mchezaji, timu na Kumshukuru Mungu wao wanampongeza mwanadamu !

Soma Pia: Full Time DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

KAMA SI AZAM JANA HAKUNA MTANZANIA ANGEONA MECHI.
Azam wapongezwe badala ya kulaumiwa na mchawi wenu ni Luninga yenu ya taifa hata jina silikumbuk
i.
"Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku"! Una uhakika wa hiyo tofauti ya muda, DRC na Afrika ya Kati na Kusini zinatofautiana kwa saa moja na Afrika Mashariki, yaani Afrika Mashariki ikiwa mbele kwa saa moja.
 
Bora Yanga walivyofungwa maana wangeshinda wangesema wameshinda wao, na walishaongea sana kwamba team ya Taifa imejaa wachezaji wao
 
Back
Top Bottom