Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa mtu wa dini sana, maana MWANADAMU alikuwa anakwenda kutukuzwa.Mm nmefurahia sana tulivyofungwa
Tungepigiwa kelele za mama anaupiga mwingi 😂Utakuwa mtu wa dini sana, maana MWANADAMU alikuwa anakwenda kutukuzwa.
ombea tupate Suluhu.Tungepigiwa kelele za mama anaupiga mwingi 😂
Na next game Pia tupasuke nyingi tuu
Ht suluhu tusipate, nataka tupate ile kauli ya Waziri mkuu mstaafu Pinda kuwa UTAPIGWA TUU.ombea tupate Suluhu.
Kocha mwenyewe ni Mzanzibari anawajua wachezaji1. Mudadhir Yahya.
2. Feisal Salum
Kama wapo , naomba majina yao na namba za watsu na timu wanazochezea tumpe kocha Morocco, japo wakija bara mademu wana waharibu.
Wewe sio mzalendoMm nmefurahia sana tulivyofungwa
Kwa timu h ya taifa, n kweli Mm sio mzalendo.Wewe sio mzalendo
NETANYAHU AKBARKwahiyo Tanganyika ikiwa saa moja jioni huko Kinshasa DRC ni saa tatu usiku?
Kwamba siku hizi majira yamebadilika kiasi hicho? Ninavyofahamu Tanganyika tumewaacha nyuma sio chini ya lisaa limoja kwa maana Tanganyika tupo mbele kwa saa moja zaidi ya Congo.
Shabiki kazi yake kushabikia timu na kuisapoti kwa matokeo yoyote.Kwa timu h ya taifa, n kweli Mm sio mzalendo.
Haya ww ambaye n mzalendo unaisaidia nn timu yako
Sijakuelewa mkuu umeni quote neno hili ukiwa na maana gani?NETANYAHU AKBAR
NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBARSijakuelewa mkuu umeni quote neno hili ukiwa na maana gani?
Au ume misquote comment yangu?
Mm sio shabiki wa tz wala ligi yakeShabiki kazi yake kushabikia timu na kuisapoti kwa matokeo yoyote.
Siyo timu ikishinda tu.
Utukufu na Ukuu wa Mungu, u-na yeye milele na milele hallelujah.
Namshukuru Mungu kwaajili yako na yangu kwa zawadi ya uhai na afya anazotujalia bure daima.
Neema na Baraka za ziambatane na kuandamana na viongozi na wananchi wote Tanzania, katika kazi na majukumu yetu muhimu ya kila siku.
Namuombea Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu na wasaidizi wake, afya njema, bidii na maarifa zaidi katika kuliongoza Taifa kwa haki, usawa, uhuru na Amani..
Nashukuru kwa niaba ya wanamichezo Tanzania, mchana wa Rais katika kuboresha sekta ya michezo mbalimbali. Kipekee namshukuru kwaajili ya goli la mama, kwa timu zetu nchini zinazoshiriki mashindano ya kimataifa. Hii imeleta ari na imehamasisha sasa wananchi kupenda timu ndani ya nchi yao..
Asanti kwa vyombo vya habari vya umma na vile vya kibinafsi, kwa kurusha matangazo mubasha ya mechi ya Taifa Stars na DRC, kwa hakika waTanzania wamepata kujua jinsi timu yao ya kizalendo, ilivyo imarika vizuri hivi sasa..
Asanti TBCTaifa 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Yes,Misahafu inasema amelaaniwa amtumainiye binadamu.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Yes,
it's true kabisa gentleman,
kwa mfano ni hivi majuzi tu hapa nchini , kiongozi moja wa kisiasa kwasababu ya kuchochewa na ulevi wake tu akakurupuka eti alitaka kuwatumia wanachama wa chama chake kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na polisi 🤣
akaambulia usaliti wa kiwango cha juu sana. Mungu akawaepusha wanachama wake wakajitenga na kujiepusha na kiongozi huyo mlevi 🐒
Ni Mungu aliwaepusha kutumikishwa na mlevi 🐒Kwa hiyo wananchi hawakuja kwa sababu walimsusa Kwa utashi wao?
Kwamba hayo yakitokea wakati mazingira yote na rafiki ya kufanikisha maandamano hayo yakiwapo?
Ni Mungu aliwaepusha kutumikishwa na mlevi 🐒
Unamkataa Mungu wa Majeshi tena? Dah 🤣Huyu Mungu anavaa magwanda, Buti, kubeba bunduki na virungu?
Ana pingu, mbwa, radio na magari ya washa washa?
Ana kararakana vituoni na hata kumiliki wasiojulikana?
Nk nk.. ?