AZAM: Pongezi Kwa kutuletea mechi Mubashara Taifa Stars vs Kongo,Wengine waige!

1. Mudadhir Yahya.
2. Feisal Salum

Kama wapo , naomba majina yao na namba za watsu na timu wanazochezea tumpe kocha Morocco, japo wakija bara mademu wana waharibu.
Kocha mwenyewe ni Mzanzibari anawajua wachezaji
 
NETANYAHU AKBAR
 

Misahafu inasema amelaaniwa amtumainiye binadamu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Misahafu inasema amelaaniwa amtumainiye binadamu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
Yes,
it's true kabisa gentleman,

kwa mfano ni hivi majuzi tu hapa nchini , kiongozi moja wa kisiasa kwasababu ya kuchochewa na ulevi wake tu akakurupuka eti alitaka kuwatumia wanachama wa chama chake kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na polisi 🀣

akaambulia usaliti wa kiwango cha juu sana. Mungu akawaepusha wanachama wake wakajitenga na kujiepusha na kiongozi huyo mlevi πŸ’
 

Kwa hiyo wananchi hawakuja kwa sababu walimsusa Kwa utashi wao?

Kwamba hayo yakitokea wakati mazingira yote na rafiki ya kufanikisha maandamano hayo yakiwapo?
 
Kwa hiyo wananchi hawakuja kwa sababu walimsusa Kwa utashi wao?

Kwamba hayo yakitokea wakati mazingira yote na rafiki ya kufanikisha maandamano hayo yakiwapo?
Ni Mungu aliwaepusha kutumikishwa na mlevi πŸ’
 
Ni Mungu aliwaepusha kutumikishwa na mlevi πŸ’

Huyu Mungu anavaa magwanda, Buti, kubeba bunduki na virungu?

Ana pingu, mbwa, radio na magari ya washa washa?

Ana kararakana vituoni na hata kumiliki wasiojulikana?

Nk nk.. ?
 
Huyu Mungu anavaa magwanda, Buti, kubeba bunduki na virungu?

Ana pingu, mbwa, radio na magari ya washa washa?

Ana kararakana vituoni na hata kumiliki wasiojulikana?

Nk nk.. ?
Unamkataa Mungu wa Majeshi tena? Dah 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…