Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona morogoro na mbeya nao wanaandaa. Bila kusahau MANDONGA ,mwakinyo na durambabe😀😀Hakuna namna na mabonanza ya feibui na samakiba
Wameondoa hadi Clouds Tv kwenye kifurushi cha 25,000Wakuu najua Azam managers huwa wanapita humu jamii kusomasoma na kujua wadau wanasemaje
Ombi langu ESPN zipunguzwe bei kule Kuna basketball na American football hizi mambo huwa zina rock sana kwa sisi ambao tumewahi angalau kidogo kuishi Philadelphia (the most cleanest city on earth)
Naomba mpunguze bei ili tuone kama tutakavyoona Taifa cup
Dstv mabingwa wa kidigitaliAzam wanaboa wametudanganya wanaonyesha Euro kumbe uchuro tu
Biashara Yao ingekufa mapemaSalama yao ni dstv kutoonyesha mipira ya tanzania.....wangejuta
zaidi ya kumfurahisha boss tu na move zao za kituruki bora dstv hawana mambo mengi hawana matangazo ya ovyo kama azamHuu ndio ukweli Azam ni nyeupe sana league zikiisha yani inakuwa nyoya kabisa
Inauma sana ! Haiwezekani nalipia 25k niangalie ngumi za vilabuni na football ya kwenye mijaruba mkuu!Umeongeaa Kwa uchungu sana afsaa 😂
ESPN na fox huwa wako vizuri sanaInauma sana ! Haiwezekani nalipia 25k niangalie ngumi za vilabuni na football ya kwenye mijaruba mkuu!
Bora hata ligi za maveterani za marekani na basketball
Niliona wanasema ZBC 2 itaonesha michuano hiyoAzam wanaboa wametudanganya wanaonyesha Euro kumbe uchuro tu
Niliwapigia wamenirudishia clouds kwenye kifurushi cha 25,000 na chanel zote za bure.Wameondoa hadi Clouds Tv kwenye kifurushi cha 25,000
elfu 20000Wakuu, hivi decoder pekee ya DSTV inauzwa Sh ngapi..?
Wadau nina king'amuzi cha Cannal Plus, jmaa akinunuliq kongo na kimesajiliwa huko, sasa nashindwa kununua Airtime nikiwa hapa mpka nimtumie jamaa anunue akiwa kule, sasa imukuwa kero...nawezaje kununua Airtime kwa mitandao yetu?.