Azam sports media Kwanini Mechi ya Jana CCM kirumba mlifunga kamera upande mmoja tu?

Azam sports media Kwanini Mechi ya Jana CCM kirumba mlifunga kamera upande mmoja tu?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Baada ya kuitazama Kwa makini mechi ya Yanga na Geita hapo Jana, niligundua ya kuwa Azam sports walifunga kamera upande wa magharibi tu wa uwanja na kufanya matukio makuu yasionekane Kwa ukaribu na usahihi.

Azam media ni kampuni kubwa sana kushindwa kuwa na vifaa vya kutosha ni aibu. Tafadhari sana Azam mbadirike na muweke kamera pande zote au kamera zenu ziweze kuturn 360 degrees.

Acheni ujanja janja. Nunueni na drone mbona zinauzwa bei rahisi tu.
 
Wakati mwingine jiridhishe kwanza kwa kufanya uchunguzi kwenye hizo mechi za Mikoani, ili uje na jibu sahihi! Na siyi kuangalia mechi moja tu, then unakuja na hitimisho.
 
Wakati mwingine jiridhishe kwanza kwa kufanya uchunguzi kwenye hizo mechi za Mikoani, ili uje na jibu sahihi! Na siyi kuangalia mechi moja tu, then unakuja na hitimisho.
Mkuu Kwa hiyo Azam wanataka kutuambia nani anayehusika na kufungua mitambo ya matangazo katika viwanja vya mikoani? Acheni upumbavu watu wanarusha matangazo clear kabisa kutoka porini huko leo kufunga kamera nani anahusika Kama siyo Azam wenyewe.
 
Wakati mwingine jiridhishe kwanza kwa kufanya uchunguzi kwenye hizo mechi za Mikoani, ili uje na jibu sahihi! Na siyi kuangalia mechi moja tu, then unakuja na hitimisho.
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa kisa ni viwanja vya mikoani. Katika malipo ya ving'amuzi vyao wateja wa mikoani Wana exceptional ukilinganisha na wale wa Dar es salaam? Acheni upumbavu.
 
Mkuu Kwa hiyo Azam wanataka kutuambia nani anayehusika na kufungua mitambo ya matangazo katika viwanja vya mikoani? Acheni upumbavu watu wanarusha matangazo clear kabisa kutoka porini huko leo kufunga kamera nani anahusika Kama siyo Azam wenyewe.
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa kisa ni viwanja vya mikoani. Katika malipo ya ving'amuzi vyao wateja wa mikoani Wana exceptional ukilinganisha na wale wa Dar es salaam? Acheni upumbavu.
Basi sawa. Watafanyia kazi haya malalamiko yako bila shaka.
 
Viwanja vya mikoani nadhani huwa wanaweka si zaidi ya 5.
Tena kuna muda huwa zinakuwa 3 kwa sababu hata goli huwa hawaoneshi angle zote.
Pengine sababu ni gharama ya camera za kuoneshea mpira.
 
Back
Top Bottom