Uwezo wanao ila fighting spirit ni ndogo hata yanga mwanzo ilikuwa hovyo wamebadilika kidogo kipindi cha pili ikaonekana kabisa pengo la yao attohoula na moloko nilikuwa nawaambia wadauAzam fighting spirit yao ipo chini mnoooo!!
Yaani wameridhika mno kama wanacheza mpira kujifurahisha na sio kazi...
AaahaaaSasa kwanini unashabikia timu ya wakabia macho njoo huku kwa wakabia kazi kazi
Nilikuwa yanga ila nilihama kwa hiari yangu bila kulazimishwa na mtu
je yao angelikuwepo?Uwezo wanao ila fighting spirit ni ndogo hata yanga mwanzo ilikuwa hovyo wamebadilika kidogo kipindi cha pili ikaonekana kabisa pengo la yao attohoula na moloko nilikuwa nawaambia wadau
Kuna mdau kipindi cha kwanza nilikuwa namwambia upande wa yanga game inawahitaji moloko na yao attohoula , alivyoingia moloko game ikachangeje yao angelikuwepo?
unaweza fiiria kuwa hawakuwa na akili hiyo au walipenda fanya hivyo. Jiulize kwa nini mechi na simba wanakuwa moto na wanashinda? shida wachezaji wa yanga ni kiwango kingine hivyo ukienda kichwa kichwa unaishia aibika ndiyo maana walikuwa wanaenda kwa tahadhari.Azizi K pekee ni mgumu kumkaba kutokana na skills na nguvu, akili .Nikiwa kama shabiki wa azam nimesikitishwa mno na perfomance ya timu yangu hasa kwenye ukabaji wa timu
Timu ya azam linapokuja suala la ukabaji ni wachezaji wachache sana wanaotimiza wajibu wao inavyotakiwa
Leo hii yanga wamepata alama tatu kwa sababu ya wachezaji wa azam kukosa nidhamu ya ukabaji
Hebu angalia yanga walivyokuwa wanafika kirahisi golini kwa azam bila kustruggle yaani wangekuwa makini wangeshinda hta goal saba
Azizi ki pekee yake alikuwa na short on target karibia saba alikuwa yupo huru mno shukrani kwa kipa vinginevyo leo ingekuwa aibu kubwa
Azam kuanzia mbele kwa dube, sopu sillah na feisal hawa wote walikuwa wanawasindikiza yanga kwenda golini kwao yaani hawakabi kabisa wanakabia macho
Leo kama azam angeshinda mpira ungekuwa haujatenda haki kabisa!!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwa staili ile ya wachezaji wa azam kukabia macho na kucheza kama wamelazimishwa nakuhakikishia hawashindi hta mechi moja ya mapacha wa kkoounaweza fiiria kuwa hawakuwa na akili hiyo au walipenda fanya hivyo. Jiulize kwa nini mechi na simba wanakuwa moto na wanashinda? shida wachezaji wa yanga ni kiwango kingine hivyo ukienda kichwa kichwa unaishia aibika ndiyo maana walikuwa wanaenda kwa tahadhari.Azizi K pekee ni mgumu kumkaba kutokana na skills na nguvu, akili .