FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Wadau wa soka mpo vyema
Mimi kama msemaji wa Azam jamiiforum nawaambi uku kileleni mwa msimamo Kuna baridi sana.
Kama itawapendeza kagera leo fanyeni kitu kwa yanga ili tuendeles kusalia kileleni huku. Uwezo mnao nia mnayo na Ari mnayo
NAWAPENDA SANA WANA NKURUKUMBU KAGERA TEAM YANGU YA UTOTONI.
Mimi kama msemaji wa Azam jamiiforum nawaambi uku kileleni mwa msimamo Kuna baridi sana.
Kama itawapendeza kagera leo fanyeni kitu kwa yanga ili tuendeles kusalia kileleni huku. Uwezo mnao nia mnayo na Ari mnayo
NAWAPENDA SANA WANA NKURUKUMBU KAGERA TEAM YANGU YA UTOTONI.