Ushawahi kujiuliza kwa nini alijiwa juu na ushawahi kuona goli la simba likashangiliwa na Yanga jiongeze Chief...Lengo dsiyo kuangali channel zingine wange Seema tu "tunawatakia watuzamaji wetu heri ya xmass na mwaka mpya
Mbna mo Salah alitwit kabsa merry xmass Ila waislamu walimjia juu Wala hakujali
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tupo waislam tunatumia azam nyie nenden #MnakeraWanajivua nguo, usitetee ujinga.
Kama wanajua watazamaji wao wana imani tofauti, hawatakiwi kuwabagua, wanachofanya ni ushamba na ubinafsi.
Vinginevyo wasiuze dikoda zao kwa wasio wa imani yao, lakini kama kwenye biashara wako tayari kupokea pesa ya yule asiye wa imani yao, lakini kwenye salamu hawataki kutoa salamu kwao, Azam ni washamba, na wasipoangalia kwa huu ujinga wao mbele ya safari utawa cost, mambo huanza taratibu.
niitetee azam kwa lipi. Ni taasisi binafsi ya mtu na familia yake. Hata akiamua kupiga kaswida kutwa nzima ilimradi havunji sheria hakuna atakayemshtaki.
nimetoa mfano wa ITV maana wanaoilalamikia azam ni wakristo, kwa nini tuishambulie azam kwa uislamu wake na tusiishambulie itv ya mkristo mwenzetu, kwa upagani wwa
Duh una ushahidi mkuu?Sio huko tu,angali hata ajira nyingne kama udereva kama sio muislam basi ni muarabu.
Sio lazima achaa.Siku channel za kikristo zikiwawish waislam idd njema nenda ukawambie azam wawawish na nyieHapana huu upumbavu Azam vameanza nao zamani sana sema wakristo wajinga sana, mimi niliona tangu zamani sana na never siwezi kuwa na dish Azam wala kuangalia Azam tv never.
Azam ni wadini tena ni fedheha kuangalia Azam
-sheria za ajira za Tanzania, zinapiga marufuku aina zote za ubaguzi eg Wa kidini, huyo mfanyakazi aliyekatazwa kufunika kichwa hatakiwi kuvua hijab yake, na pia Mimi siamini kama ndani ya ITV Kuna hiyo policy iliyoandikwa inazuia kuvaa hijabu Kwa sababu itakuwa inapingana na sheria ya ajira na mahusiano kazini.Unataka ushahidi gani?hiyo ndio sheria na inajurikana kuwa ni marufuku kwa mfanyakazi wa ITV kufunika kichwa chake anapo kuwa kazini ww kama hujui ni ww.
hebu nitajie angalau wafanyakazi 6 waislam ndani ya ITV au STarTV .
Acha ujinga wewe, na maimaini yako hayo, we ni Mkristo wa ajabu kweli. Wacha udini pumbawe.Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.
Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.
Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz
Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?[emoji26][emoji1745] Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
ungeanza na kuwaambia azam waache ubaguzi kwanza tatizo lenu mkifanya nyie mnaona sawa na kawaida ila ukiambiwa ukweli mnareact....sijazaliwa 2000watoto mliozaliwa 2000 /wanyoa viduku, wavaa vinjunga mna matatizo sana. haya uliyoandika unajua madhara yake kwa umoja wetu kama watanzania? acheni ujinga nyie watu
anaongelea alichokiona azam unaleta malinganisho na ITV kutaka tu kutetea ujingaITV kuna mpaka na sheria ya kukataza wanawake walio ajiliwa hapo kuvaa hijabu mbona hujawahi kuja hapa kubwabwaja kuhusu hilo?
aliekwambia wakristu wanalazimisha uhusiano na waislamu ni nani?????????Mna huo ubavu nyie marofa na msio kuwa na akili ? Kila saa kuwaza udini tu.
Usipo nunua bidhaa za Azam basi utanunua bidhaa za Mo, Azania au jambo ambazo ni kampuni zinazo milikiwa na waislam kwa hiyo hapo utakuwa umekwepa nn?
Hivi kwa nn mnalazimisha uhusiano wa kiimani na waislam?kakuna uhusiano wowote wa kiimani kati ya Ukristo na uislamu hivyo kila mtu afuate dini yake acheni chochoko za kipuuzi.
Waislam wanaruhusiwa kushirikiana na watu wa imani nyingine kwenye mambo yote ya kijamii lakini kwenye masuala ya imani yao ni hakuna.
Kuhusu kuajili mbona taasisi zinazo milikiwa na wakristo wenzio mmejazana nyinyi tu na waislam ni wa kuhesabu?
Tena kama ITV sharti la mwanamke wa kiislam kuajiliwa hapo ni akubali kutovaa hijabu.
Acha upumbavu kama ITV wanafanya na unaona kawaida kwa nn iwe ajabu kwa Azam?anaongelea alichokiona azam unaleta malinganisho na ITV kutaka tu kutetea ujinga
mpumbavu ni wewe unaefananisha vitu visivyofanana,mtoa mada anazungumzia kitu kingine wewe unaleta habari za kuvaa hijab na nyie tukiwaendekeza mtatuvalia makanzu yenu hadi sehemu zisizostahili tutaendelea kukaza mpaka akili ziwakae sawa.Acha upumbavu kama ITV wanafanya na unaona kawaida kwa nn iwe ajabu kwa Azam?
Mzee siyo kweli, sema kiswahili kilikupiga chenga darasani labda.Ndo maana Baraka Mpenja Na Paschal Kabombe wanalazimishwa waanze na salamu ya "Assalama aleko" wakiwa wanaanza kutangaza mpira
Acha kutumia mfe njaa ww na familia yako mjinga mmoja ww kwani umeshikiwa bunduki kununua?aliekwambia wakristu wanalazimisha uhusiano na waislamu ni nani?????????
unajua walichonacho wakristu wewe🙁?????walichonacho ni kikubwa wala hawahitaji uhusiano wowote ,hoja hapa ni ubaguzi usio na tija hivi unadhani na wakristu wangeamua kubagua na kutotumia hayo mabidhaa ya azam mo sijui azania hali ingekuwaje???? ila kwa sababu udini hautuchukulii muda maisha yanasonga mngekuwa nyie na roho zenu za kimaskini mngepata shida sana.
BanMzee Azam ni WA dini kupiga nyimbo za dini hicho ni kipind we fala