Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

Wanajivua nguo, usitetee ujinga.

Kama wanajua watazamaji wao wana imani tofauti, hawatakiwi kuwabagua, wanachofanya ni ushamba na ubinafsi.

Vinginevyo wasiuze dikoda zao kwa wasio wa imani yao, lakini kama kwenye biashara wako tayari kupokea pesa ya yule asiye wa imani yao, lakini kwenye salamu hawataki kutoa salamu kwao, Azam ni washamba, na wasipoangalia kwa huu ujinga wao mbele ya safari utawa cost, mambo huanza taratibu.
Kwani mmelazimishwa kununua?
 
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika...
Unaonekana wewe ni mshari.Umeenda kwa dini nyingine kutafuta nini? hiz wishes zote kutoka kwengine hazikukutosha mpaka unazitaka za dini nyingine.

Hiz ni hisia mbaya kabisa,na hilo la mwisho la ajira.mstari wa mwisho ndiyo wenye point. Kwamba wakristo wachache walioajiriwa pale ni wale wenye uwezo mkubwa.sasa kosa ni nini hapo? si inabidi wakristo watie bidii ili mwenye Azam tv awape kazi.
 
Wao wanasema eti tunawatakia watazamaji wote heri ya msimu wa sikukuu na heri mwaka mpya. Ila hatuwezi kuwapangia bhana
 
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika...
Mkurugenzi wa hiyo tv ni TIDO MHANDO mromani lia lia,inamaana hajaona umuhimu wa kuwish hiyo mary christmass?? Au tatizo ni cha muislamu ndo manung'uniko hayaishi?
 
Sasa hivi wamekizima watakiwasha wanapojisikia, sipati chaneli yeyote tangia hasubuhi Na hawajali wala nn?
 
Wewe bado mdogo sana toka bwenini kwanza unapojifungia na wenzako kwenye cube moja na kujazana ujinga njoo duniami kwanza uone maisha yalivyo ndio utajua chuki humuumiza yule mwenye kuzifuatilia.
Hivi kuna watu wanaozifatilia kama waislamu kutwa kukosoa dini za wenzao na wao kujiona bora kumbe hamna kitu
 
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika...
Hawa mie nawajua miaka mingi sana ndio zao!

Mimi hata home kwangu niliachana na dish zao badala yake nina DSTV na Star times! Ni wabaguzi sana wa dini!
 
Huwezi kugundua sehemu yenye udini kama wewe sio mdini pia,

Enwei; marry chrismass mwandishi
 
Sawa mdogo wangu Karibu duniani uone maisha
niko duniani na nayoandika hapa nimeyaona sio story za kusikia wala kusimuliwa kwenye cube kama unavyodai huko cubin nshatoka miaka nenda rudi na wala hatukuwa na hizo story kwa hiyo nachoandika nimekishuhudia
 
niko duniani na nayoandika hapa nimeyaona sio story za kusikia wala kusimuliwa kwenye cube kama unavyodai huko cubin nshatoka miaka nenda rudi na wala hatukuwa na hizo story kwa hiyo nachoandika nimekishuhudia
Cube umetoka mwaka jana.
 
Acha victim mentality mdogo wangu. Dunia ni mbovu sana ukizingatia vitu vidogo utaona kila mtu mbaya
hakuna kilichozingatiwa ila ni maoni tu nimetoa kulingana na hoja iliyoletwa na mtoa mada na kwa sababu ina ukwelin na hamtaki kusikia ukweli ndio mana mnajitahidi kutetea hapa
 
tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
mkuu hapa kwenye tamthilia usiwalaumu Azam, tamthilia nyingi za ki-western ambazo wewe unatamani waoneshe ni sinahitaji cencoring ya hali ya juu sababu hua hazina maadili kabisa. Sababu kuu ya azam kupendelea tamthilia za kituruki na kihindi ni sababu zina maadili hazina mambo ya kipumbavu.
 
Nakupa asainimenti!

1. Ukimuona kiongozi wa Kikristo yupo mkutanoni utamskia akisalimia kwa dini zote sijui Asalaam Aleyikum, Tumsifu Yesu Kristu! Bwana Yesu Asifiwe, Mwana Kondoo Ameshinda nk.

LAKINI Kamwe, hautamskia kiongozi wa Kiislam akisalimia kwa dini mbalimbali. Yeye atasema tu, Asalaam Aleykum!

2. Nenda taasis inayomilikiwa na Roman Catholic, mfano shule, hospitali nk utakuta wafanyakazi kutoka dini mbalimbali mpaka Waislamu ni wengi tu
LAKINI Mkristo nenda ukaombe kazi katika taasis ya Kiislamu uone kama utapata kazi kirahisi!

Inawezekana katika Quran inakatazwa kabisa kufungamana na Ukristo!

Hivyo, tusikate tamaa, ipo siku Azam watabadilika mana hizi dini zimeletwa tu huku Afrika!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom