Azam Tv; bei ya Ving'amuzi ni kitanzi kwenu

Azam Tv; bei ya Ving'amuzi ni kitanzi kwenu

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Ni ukweli usio na kipingamizi kua king'amuzi cha Azam ni kati ya vingamuzi vinavyopendwa Tanzania na pia nchi kadhaa za Africa Mashariki, lakini bei yake imekua gumzo sana mtaani kiasi cha kuzua maswali je ni nini hasa kinapelekea bei kua kubwa kiasi hicho.

Kwa mkoa wa Iringa Mbeya na Njombe kinefikia 250,000 huku Azam wakitangaza kua ni 210,000 hadi 230,000 lakini bado ni kubwa mno haiakisi uhalisia.

Wakati DSTV ambao ni ma-Giant wa biasahra hiyo wakishusha bei mpaka 59,000 na fundi bure Azam wanazidi kupandisha bei.
Kumbukeni kua hakujawahi kua na teknolojia permanent duniani na wala hakuna biashara inayokua permanet duniani Tafuteni wateja zaidi kwa kupunguza bei ya ving'amuzi. Wapo wateja wengi ambao sio wapenz wa mpira ila wanahitaji Azam ila kutokana na bei wameamua kununua vingamuzi vingine.

Bei ya vifurushi iko pale pale ila bei ya Dishi ndo inapaa kila siku. Sasa JE,kipi bora kati ya kuongeza bei ya king'amuzi na kupata wateja wachche au kupunguza bei ya kingamuzi ili kupata wateja wengi wataolipa kila mwezi?

Kazi kwenu Azam media
 
Ni ukweli usio na kipingamizi kua king'amuzi cha Azam ni kati ya vingamuzi vinavyopendwa Tanzania na pia nchi kadhaa za Africa Mashariki, lakini bei yake imekua gumzo sana mtaani kiasi cha kuzua maswali je ni nini hasa kinapelekea bei kua kubwa kiasi hicho.

Kwa mkoa wa Iringa Mbeya na Njombe kinefikia 250,000 huku Azam wakitangaza kua ni 210,000 hadi 230,000 lakini bado ni kubwa mno haiakisi uhalisia.

Wakati DSTV ambao ni ma-Giant wa biasahra hiyo wakishusha bei mpaka 59,000 na fundi bure Azam wanazidi kupandisha bei.
Kumbukeni kua hakujawahi kua na teknolojia permanent duniani na wala hakuna biashara inayokua permanet duniani Tafuteni wateja zaidi kwa kupunguza bei ya ving'amuzi. Wapo wateja wengi ambao sio wapenz wa mpira ila wanahitaji Azam ila kutokana na bei wameamua kununua vingamuzi vingine.

Bei ya vifurushi iko pale pale ila bei ya Dishi ndo inapaa kila siku. Sasa JE,kipi bora kati ya kuongeza bei ya king'amuzi na kupata wateja wachche au kupunguza bei ya kingamuzi ili kupata wateja wengi wataolipa kila mwezi?

Kazi kwenu Azam media
Shida ya azam hiyo bei ya laki 2 na 10 ni pamoja na vifurushi vya miezi 3vya 35,000 kwa mwezi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Elfu 9 DStv movie zipo?
Ndo nakwambia hivo vifurushi vina machannel ya ajabu ajabu tu huwezi pata burudani kama ya azam kwa buku 20 ukiwa dstv......dstv kidogo uanze kufaidi lipia hiki cha kwenye 40 na kitu kwenda juu.....ila chini ya hapo utopolo tu
 
Ni ukweli usio na kipingamizi kua king'amuzi cha Azam ni kati ya vingamuzi vinavyopendwa Tanzania na pia nchi kadhaa za Africa Mashariki, lakini bei yake imekua gumzo sana mtaani kiasi cha kuzua maswali je ni nini hasa kinapelekea bei kua kubwa kiasi hicho.

Kwa mkoa wa Iringa Mbeya na Njombe kinefikia 250,000 huku Azam wakitangaza kua ni 210,000 hadi 230,000 lakini bado ni kubwa mno haiakisi uhalisia.

Wakati DSTV ambao ni ma-Giant wa biasahra hiyo wakishusha bei mpaka 59,000 na fundi bure Azam wanazidi kupandisha bei.
Kumbukeni kua hakujawahi kua na teknolojia permanent duniani na wala hakuna biashara inayokua permanet duniani Tafuteni wateja zaidi kwa kupunguza bei ya ving'amuzi. Wapo wateja wengi ambao sio wapenz wa mpira ila wanahitaji Azam ila kutokana na bei wameamua kununua vingamuzi vingine.

Bei ya vifurushi iko pale pale ila bei ya Dishi ndo inapaa kila siku. Sasa JE,kipi bora kati ya kuongeza bei ya king'amuzi na kupata wateja wachche au kupunguza bei ya kingamuzi ili kupata wateja wengi wataolipa kila mwezi?

Kazi kwenu Azam media
Tatizo wateja mkiwa wengi signal zinapungua, au hazishiki kabisa kwa vile mnanyang'anyana signal, wateja waliopo tunatosha hatutaki wapya, ukikipenda nunua hata laki tatu
 
Tatizo wateja mkiwa wengi signal zinapungua, au hazishiki kabisa kwa vile mnanyang'anyana signal, wateja waliopo tunatosha hatutaki wapya, ukikipenda nunua hata laki tatu
Wateja wakiwa wengi ina maana biashara imekua nzuri so watatakiwa waboreshe miundombinu....kama Azam wanalalamika hao DSTV wafanyeje na wamekamata soko la Africa
 
Ndo nakwambia hivo vifurushi vina machannel ya ajabu ajabu tu huwezi pata burudani kama ya azam kwa buku 20 ukiwa dstv......dstv kidogo uanze kufaidi lipia hiki cha kwenye 40 na kitu kwenda juu.....ila chini ya hapo utopolo tu
Dstv waliwahi kunipeleka hadi 180k, nikastuka nikalala mbele! nilikuwa na decoda mbili!
 
Ni ukweli usio na kipingamizi kua king'amuzi cha Azam ni kati ya vingamuzi vinavyopendwa Tanzania na pia nchi kadhaa za Africa Mashariki, lakini bei yake imekua gumzo sana mtaani kiasi cha kuzua maswali je ni nini hasa kinapelekea bei kua kubwa kiasi hicho.

Kwa mkoa wa Iringa Mbeya na Njombe kinefikia 250,000 huku Azam wakitangaza kua ni 210,000 hadi 230,000 lakini bado ni kubwa mno haiakisi uhalisia.

Wakati DSTV ambao ni ma-Giant wa biasahra hiyo wakishusha bei mpaka 59,000 na fundi bure Azam wanazidi kupandisha bei.
Kumbukeni kua hakujawahi kua na teknolojia permanent duniani na wala hakuna biashara inayokua permanet duniani Tafuteni wateja zaidi kwa kupunguza bei ya ving'amuzi. Wapo wateja wengi ambao sio wapenz wa mpira ila wanahitaji Azam ila kutokana na bei wameamua kununua vingamuzi vingine.

Bei ya vifurushi iko pale pale ila bei ya Dishi ndo inapaa kila siku. Sasa JE,kipi bora kati ya kuongeza bei ya king'amuzi na kupata wateja wachche au kupunguza bei ya kingamuzi ili kupata wateja wengi wataolipa kila mwezi?

Kazi kwenu Azam media
Dstv unaowaita magiant kwa sasa wana wateja 180,000 tu azam wakiwa na wateja 800,000 huku startimes wakiwa na wateja 1.8 ml. Hizo ni takwimu za tcra.
Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom