Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu,
Kwa tukio la jana kukataliwa goal la Geita Gold ni wazi Azam TV wanapaswa kuboresha eneo lao la camera kwani hawakupi nafasi ya kuangalia angle zote za move ya mpira.
Mfano jana kwa picha za marudio zinaonesha tu kapombe akianguka na mfungaji kupiga kichwa na goal kukataliwa.
Je Kapombe aliwaza tu kuanguka mbele makusudi kama amepata ugonjwa wa kifafa au tatizo la moyo? kuna kitu kilitokea ambacho uduni wa camera za Azam ulitunyima kukiona.
Na ninafikiri mwamuzi alipaswa kutoa na card kwa mfungaji kwa kuhatarisha maisha ya kapombe maana rafu ya kutokea nyuma huwa ni mbaya sana.
Kwa tukio la jana kukataliwa goal la Geita Gold ni wazi Azam TV wanapaswa kuboresha eneo lao la camera kwani hawakupi nafasi ya kuangalia angle zote za move ya mpira.
Mfano jana kwa picha za marudio zinaonesha tu kapombe akianguka na mfungaji kupiga kichwa na goal kukataliwa.
Je Kapombe aliwaza tu kuanguka mbele makusudi kama amepata ugonjwa wa kifafa au tatizo la moyo? kuna kitu kilitokea ambacho uduni wa camera za Azam ulitunyima kukiona.
Na ninafikiri mwamuzi alipaswa kutoa na card kwa mfungaji kwa kuhatarisha maisha ya kapombe maana rafu ya kutokea nyuma huwa ni mbaya sana.