Bukkede TvNishawahi kuona Tv ya Uganda wakifanya hivyo.
yah men, hata marehemu rufufu utundu uwo aliotoa Uganda.Bukkede Tv
Kwani dubbing ile ya voice over huipendi mkuu?Azam TV nawashauri muweke Channel ya wanaotafsri muvi za Kihindi na kizungu kama akina Dj Mack. Juma Khan mtapata wateja zaidi.
Sio ushamba sometimes zinapotezea mawazo,Ushamba