Azam TV fanyeni hivi

Azam TV fanyeni hivi

AZAM TV wakifanya hivyo watakuwa wameharibu sana.

Hao jamaa kina DJ Afro na wengine wengi wao hawajasoma hivyo wanaelezea Uongo mara nyingine na pia sana matusi

Wasomi na watu wastaarabu watachefukwa tu hawatafurahia.
Taifa hili si la wasomi pekee,hivi we unafikili Kila mtu anapenda nyimbo za matusi za baadhi ya wana muziki wetu? Mbona nyimbo zinapigwa tena wachezaji wapo nusu uchi,hao wastaarabu na wasomi wapo wapi?Azam wekeni hiyo Channel mtapata wateja wengi tena hata mkikiweka kwenye premier watu tutalipia
 
Dah kiukweli sijawai waelewa hao yaaani ni bora niangalie movie kwa lugha yake halisi hata ile dubing ya voice over sometime wanachanga nashindwa kuelewa anyway nilikuwa napenda lufufu sababu ya vionji vyake tu
Mimi movie za akina dj sijui nani sizielewi, ila dubbing nlianza kuipenda baada ya kuanza kufanya voice over na kuelewa kwanini muda mwingine uwa wanabadili mzungumzaji anachosema.
Uwa wanafanya hivyo ili walengwa waelewe.
Assume movie ni ya Kazhakstan, kule wana msanii wao maarufu sana, dubbing ni ya kisw na kwenye movie walisema labda nitakuwa maarufu kama Salman. Wewe mtanzania salman humjui na wala hujui ni maarufu kiasi gani, so itabidi iwe nitakuwa maarufu kama Diamond, ili upate picha
 
Mimi movie za akina dj sijui nani sizielewi, ila dubbing nlianza kuipenda baada ya kuanza kufanya voice over na kuelewa kwanini muda mwingine uwa wanabadili mzungumzaji anachosema.
Uwa wanafanya hivyo ili walengwa waelewe.
Assume movie ni ya Kazhakstan, kule wana msanii wao maarufu sana, dubbing ni ya kisw na kwenye movie walisema labda nitakuwa maarufu kama Salman. Wewe mtanzania salman humjui na wala hujui ni maarufu kiasi gani, so itabidi iwe nitakuwa maarufu kama Diamond, ili upate picha
Voice over mko poa ila tatizo kuna muda mnanichanganya kwenye maelezo ya story nashindwa kuelewa aisee
 
Mimi movie za akina dj sijui nani sizielewi, ila dubbing nlianza kuipenda baada ya kuanza kufanya voice over na kuelewa kwanini muda mwingine uwa wanabadili mzungumzaji anachosema.
Uwa wanafanya hivyo ili walengwa waelewe.
Assume movie ni ya Kazhakstan, kule wana msanii wao maarufu sana, dubbing ni ya kisw na kwenye movie walisema labda nitakuwa maarufu kama Salman. Wewe mtanzania salman humjui na wala hujui ni maarufu kiasi gani, so itabidi iwe nitakuwa maarufu kama Diamond, ili upate picha
Lakini pia Huwa wanaongea vionjo Ili kufurahisha hadhira,vitu ambavyo hata wachekeshaji wetu Huwa wanafanya na tunalipa Hela nyingi kwenda kuangalia( stand-up comedy)
 
Voice over mko poa ila tatizo kuna muda mnanichanganya kwenye maelezo ya story nashindwa kuelewa aisee
Hahahaha, mimi sifanyi hivyo ila at least filam ambazo ziko dubbed natazama, ila za akina dj mark yani siwez kabisa tazama
 
Lakini pia Huwa wanaongea vionjo Ili kufurahisha hadhira,vitu ambavyo hata wachekeshaji wetu Huwa wanafanya na tunalipa Hela nyingi kwenda kuangalia( stand-up comedy)
Wana mislead watazamaji sana ndio maana sizipendihalafu mimi napend adialogue za movie pia uwa zinanifanya kupenda movie
Mfano game of thrones, mle kuna dialogues mpaka leo nazikumbuka. Hata signature yangu ya jf ni quote toka kwenye movie
 
AZAM TV wakifanya hivyo watakuwa wameharibu sana.

Hao jamaa kina DJ Afro na wengine wengi wao hawajasoma hivyo wanaelezea Uongo mara nyingine na pia sana matusi

Wasomi na watu wastaarabu watachefukwa tu hawatafurahia.
Uzuri kuna channel nyingi sana sio lazima mtu aangalie kama anaona anachefukwa
 
Hizo movie zilizo tiliwa sauti ukiwa unaitazama home kwako alafu umeweka sauti ya juu jamii huko nje inakutafsili kama mtu ambae hajasoma
Ni kweli
Mimi mwenyewe enzi za utoto nilikuwa nazipenda huku Manzese

Baada ya kupata elimu movie bila subtitles haina ladha
 
Back
Top Bottom