joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Upuuzi upuuzi tu kama wakina Magoma wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukibugia kahawa na kashata huwa unaropoka sana.Si wanasemaga Azam ina udini aya sasa wagalatia changamkieni dili hilo, alafu hapo hapo mkurugenzi ni Patrick
Hati miliki kivipi? Sijajua kuna nini kati ya mwamakula na ndondi? Naomba mtueleweshe mnaofahamu kinachoendelea.Nampongeza Mwamakula. Haki Milki ni muhimu sana kuheshimiwa regardless pesa zako.
Wamakula ndio nani kwani
Huyo Mwamakula ndiyo nani?, pigo hili kwa vijana.
Uyo Mwamakula ni nani na anataka nini?
Nampongeza Mwamakula. Haki Milki ni muhimu sana kuheshimiwa regardless pesa zako.
😀😀😀😀 ndio yule askofu chawa wa chadema?Mwanakondoo Ameshinda,Tumfuate...😀😀
Na kuliwahi kuwa na TIDO MHANDOSi wanasemaga Azam ina udini aya sasa wagalatia changamkieni dili hilo, alafu hapo hapo mkurugenzi ni Patrick