utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Hivi unaona huu mpira mkuu?? Nchi hii haina weledi kwenye Kila kitu aisee[emoji119][emoji119]Poleni mkuu
Nimelipia kifurushi mkuu ni haki yanguUtopolo unalalama!
Mkuu kwani tff ndio wenye jukumu lakuonesha mpira??Sasa ni kosa la Azam? Au wenyeji wa mchezo au chama mpira???
Mkuu mimi sio mshabiki wa timu hapo yoyote inayocheza yangu ni mtibwaHivi unaona huu mpira mkuu?? Nchi hii haina weledi kwenye Kila kitu aisee[emoji119][emoji119]
Kaka yake BarbaraUtadhani kuna game ya maana. Mxxxxxyzz
Hata Mimi Nilijiulza kuhusu Hilo la kuhamisha kamera, nikaona Azam nao wametufanyia makusudiKamera si wangeweka upande wa pili?!
Hivi kati ya kuhamisha kamera na kufungua Ile michuma ipi ilikuwa ni kazi rahisi?Hata Mimi Nilijiulza kuhusu Hilo la kuhamisha kamera, nikaona Azam nao wametufanyia makusudi