Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Naunga mkono hoja , mpira wa makaratasi [emoji38][emoji38][emoji38]Kikubwa waongeze idadibya chaneli za michezo, mfano weekend mechi ni nyingi wao wanachagua mechi gani waoneshe mechi gani waache!!
Kwakuwa wameleta wenyewe Ligue 1 basi kuwe na chaneli maalum ya Ligue 1, kuwe na chaneli maalum ya Bundesliga na chaneli maalum za mpira wa makaratasi (NBC PL)
angalieni na UTV mtaliona kwan niliona hayo ya sinema zetu.Sisi tuliokuwa tunaangalia sinema zetu ulitaka tuoneje tangazo la UTV ?
Chuki ni kidonda ukishiriki utateseka bure,Ukitoa ajira kwa kufuata mlengo fulani tena wa kibaguzi unategemea upate maendeleo na ubinifu?!
Ubaguzi wowote huwa unazaa umauti.
Tatizo unaangalia taarifa za mkuu wa magaidi hadi unajisahau,halafu unaleta lawama kwa wengine98% ya vipindi vyake ni dini tu , sasa hili nalo mnataka kukataa ili iweje ? wala hilo silipingi bali ninachotaka kusema ni kwamba ni lazima Azam waseme game ipi inaonyeshwa wapi.
Kwa mfano Jana usiku kulikuwa na game ya ligi ya ufaransa ambayo Azam wanaonyesha , lakini taarifa zake nimezipata kupitia Instargram , wakati huohuo hiyo siku nzina nilikuwa naangalia channel za Azam tu lakini hakukuwa na habari za game hii.
Uislam hauna muda wa kukaa na kujadili ushoga uruhusiwe ama usiruhusiwe, jibu ni moja tu kwa uislam ushoga ni NO!, Ila kuna dini kabisa zinakaa kujadili hili kama uruhusiwe ama laUkizungumzia ushoga unaigusa dini yako 100%.
Nasikitika uzi wangu ushageuzwa wa kidini , lengo langu halikuwa hilo kabisa yaani !Uislam hauna muda wa kukaa na kujadili ushoga uruhusiwe ama usiruhusiwe, jibu ni moja tu kwa uislam ushoga ni NO!, Ila kuna dini kabisa zinakaa kujadili hili kama uruhusiwe ama la
Comment ya kwanza kabisa baada ya mada yako ililenga huko, ungeiripoti mods wangefanya yao, umeiacha ndio matokeo yake hayo. watu wanailalamikia uhai media kwa udini wanasahau kuwa top mgt ni wagalatia watupuNasikitika uzi wangu ushageuzwa wa kidini , lengo langu halikuwa hilo kabisa yaani !
Yani unasema ZBC2 ni chanel ya misikiti halafu unasema lengo lako halikuwa dini au ulidhani usingelisema ZBC2 ni chaneli ya misikiti uzi wako usingelieleweka?Nasikitika uzi wangu ushageuzwa wa kidini , lengo langu halikuwa hilo kabisa yaani !
Ukitoa ajira kwa kufuata mlengo fulani tena wa kibaguzi unategemea upate maendeleo na ubinifu?!
Ubaguzi wowote huwa unazaa umauti.
Tatizo aliinukuu na kuiunga mkonoComment ya kwanza kabisa baada ya mada yako ililenga huko, ungeiripoti mods wangefanya yao, umeiacha ndio matokeo yake hayo. watu wanailalamikia uhai media kwa udini wanasahau kuwa top mgt ni wagalatia watupu
Ukiona hao uliowataja wako hapo basi ujue ametafutwa mtu anaevaa kubazi na bagalashia amekosekana,hao wako hapo ila wasaidizi wao wote ni kubazi tupu!! Kuna ubaguzi sana hapo kwa mpemba.Aiseee, UDINI utatuua, mungu atusaidie hii chuki ya dini ibaki level hii hii, ukivuka kidogo hapa, tutapata vita vya wenyewe kwa wenyewe, ama mabo ya kimbari..
Alimuajiri bosi mkuu bwana tido muhando, bosi mkuu wa michezo pale bwana PATRICK kahemele, nani sijui jina limenitoka, na wafanyakazi kibao wasio na dini yake.
Mzee toa kichwani hayo mawazo mgando, mtazalisha chuki kubwa kwa vizazi vyetu vijavyo.
Azam kwenye mambo yake mengi inapokuja swala la kutoa ajira amekuwa analenga sana watu wa Tanzania visiwani yaani Zanzibar na pia kutokana na mtindo huo wale wadau wanajenga sana akili za udini yaani vetting zao wanatazama sana udini utadhani wanakwenda kufanya ibada.Hebu fafanua kidogo mkuu
Dunia ya leo watu waache kutafuta pesa waanze kugombana kisa maswala ya Imani hiyo ngumu sana. Maisha yameshakuwa ya tofauti sana.Aiseee, UDINI utatuua, mungu atusaidie hii chuki ya dini ibaki level hii hii, ukivuka kidogo hapa, tutapata vita vya wenyewe kwa wenyewe, ama mabo ya kimbari..
Alimuajiri bosi mkuu bwana tido muhando, bosi mkuu wa michezo pale bwana PATRICK kahemele, nani sijui jina limenitoka, na wafanyakazi kibao wasio na dini yake.
Mzee toa kichwani hayo mawazo mgando, mtazalisha chuki kubwa kwa vizazi vyetu vijavyo.
Ukitizama kwa mlengo huo lazima uone vitu hivyo. Msaidiz wa kahemele ni mkristu kama sikosei, alikuwa zakazakazi amepelekwa azam fc.Ukiona hao uliowataja wako hapo basi ujue ametafutwa mtu anaevaa kubazi na bagalashia amekosekana,hao wako hapo ila wasaidizi wao wote ni kubazi tupu!! Kuna ubaguzi sana hapo kwa mpemba.
Kuna sehemu nilisema "UISLAMU" au unajaribu kunifundisha namna ya kukashifu?!Chuki mbaya sana hivi unazani Afrika mashariki kuna kama AZAM pamoja na ubaguzi wake ?
hebu tuelezee ubaguzi wa AZAM media ni upi?
INAONEKANA UNAUCHUKIA SANA UISLAMU.
Wewe ndio una chuki na uislamu acha kuwajaza watu maneno kwa vitu ambavyo hawajasema. Sasa wewe umetoka wapi na hayo mawazo ya kudhania mwenzako anaongea ulichosema wewe?!Chuki mbaya sana hivi unazani Afrika mashariki kuna kama AZAM pamoja na ubaguzi wake ?
hebu tuelezee ubaguzi wa AZAM media ni upi?
INAONEKANA UNAUCHUKIA SANA UISLAMU.
Achana nae huyu kavurugwa.....Nikikuuliza tolea ufafanuzi umeelewa nini kwenye comment yangu, unaweza kujibu japo kwa mistari michache?
Sio ila sio mtu kutoka Zanzibar.Kwani Tido Mhando naye ni Takbir?