makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Natizama tu, siku hizi kuna comment nyingi saana za udini, tena wakati mwingine inafikia hatua ya kukashfiana. tunakoelekea ni kubayaKuna Baraka Mpenja
Patrick Nyembera
Charles Hilary
Ivona Kamuntu
Mkuu , hawa jamaa wanasumu nyoyoni mwao za chuki dhidi ya SSB & Company.
Ila management haina shida kabisa ipo Well balanced na kuajiri quality people.