Azam TV jiongezeni mtuwekee sauti bandia za mashabiki mechi ya Simba vs Constantine

Azam TV jiongezeni mtuwekee sauti bandia za mashabiki mechi ya Simba vs Constantine

Tutaweka sauti ya vilio vya mashabiki wa yanga wakiwa wametolewa kwenye mashindano
 
Tunakubali Simba tuko kifungoni ila Azam TV watakuwa wazalendo sana wakiweka sauti bandia za mashabiki ili kunogesha matangazo yao ya mechi hiyo.

Wenzetu huko walikoendelea ndiyo wanafanyaga pale mechi zinapochezwa bila mashabiki.

Magoli ya Ateba na Mpanzu (2) ya siku hiyo yanastahili kelele za mashabiki.
Hivi kulikuwa kuna sababu gani ya kung'oa vile viti siku ile mpaka kufikoa hatua ya kufungiwa nyinyi mashabiki mbumbumbu kuingia uwanjani, na pia timu yenu kupigwa faini ya mamilioni ya shilingi?

Halafu siyo mara ya kwanza kwenu kuvunja viti vya ule uwanja! Hivi nyinyi mashabiki wa simba mna shida gani hasa na vile viti vya uwanja wa Mkapa? Kwa nini mkiviona tu, mnawaza kuving'oa!!
 
Hivi kulikuwa kuna sababu gani ya kung'oa vile viti siku ile mpaka kufikoa hatua ya kufungiwa nyinyi mashabiki mbumbumbu kuingia uwanjani, na pia timu yenu kupigwa faini ya mamilioni ya shilingi?

Halafu siyo mara ya kwanza kwenu kuvunja viti vya ule uwanja! Hivi nyinyi mashabiki wa simba mna shida gani hasa na vile viti vya uwanja wa Mkapa? Kwa nini mkiviona tu, mnawaza kuving'oa!!
Kwa maneno ya Smart911 tugange yajayo
 
Back
Top Bottom