vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Ni Kennnnnedy Musonda, Tabu lele laaaaaahHiyo mechi sauti waweke ile ya 5:1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kennnnnedy Musonda, Tabu lele laaaaaahHiyo mechi sauti waweke ile ya 5:1
Mmefungiwa kwenda uwanjani.Uhuru ni sokoni?Tuweke TV uwanja wa uhuru.Kiingilion elfu 5.
Na bia ziwepo + mziki.
Kwahiyo hata Bunju tusiende? Au bunju ni chooni.Mmefungiwa kwenda uwanjani.Uhuru ni sokoni?
Mkiambiwa hamna akili mnamind
HahhhHuyo mechi mtaitaza bila mashabiki kama mnataza porno
Msiende as long as kuna uwanja🤣🤣Kwahiyo hata Bunju tusiende? Au bunju ni chooni.
Kichwa maji wewe😂😂😂
Hivi kulikuwa kuna sababu gani ya kung'oa vile viti siku ile mpaka kufikoa hatua ya kufungiwa nyinyi mashabiki mbumbumbu kuingia uwanjani, na pia timu yenu kupigwa faini ya mamilioni ya shilingi?Tunakubali Simba tuko kifungoni ila Azam TV watakuwa wazalendo sana wakiweka sauti bandia za mashabiki ili kunogesha matangazo yao ya mechi hiyo.
Wenzetu huko walikoendelea ndiyo wanafanyaga pale mechi zinapochezwa bila mashabiki.
Magoli ya Ateba na Mpanzu (2) ya siku hiyo yanastahili kelele za mashabiki.
Matrak@ yakooo,Kwa taarifa yako tunashinda hiyo game na wewe unafungwa utopolo.Msiende as long as kuna uwanja🤣🤣
Aliyekwambia mi nashabikia mpira Tanzania ni naniMatrak@ yakooo,Kwa taarifa yako tunashinda hiyo game na wewe unafungwa utopolo.
Kwa maneno ya Smart911 tugange yajayoHivi kulikuwa kuna sababu gani ya kung'oa vile viti siku ile mpaka kufikoa hatua ya kufungiwa nyinyi mashabiki mbumbumbu kuingia uwanjani, na pia timu yenu kupigwa faini ya mamilioni ya shilingi?
Halafu siyo mara ya kwanza kwenu kuvunja viti vya ule uwanja! Hivi nyinyi mashabiki wa simba mna shida gani hasa na vile viti vya uwanja wa Mkapa? Kwa nini mkiviona tu, mnawaza kuving'oa!!
Aaah kumbe unashabikia MC AlgersAliyekwambia mi nashabikia mpira Tanzania ni nani
NdioAaah kumbe unashabikia MC Algers
Ila unamjua Aziz Ki?😂😂Ndio
Kwan waarabu hawamjui Max?Ila unamjua Aziz Ki?😂😂