Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu nilitaka kuchukua hicho hicho cha dish lakn walinikatisha tamaa eti hawa huduma yao ni kinyume na matangazo yao
Asante mkuu..!Sijui sasa hapo mkuu hao waliokukatisha walikua na maana gani, pia wao inawezekana wameshaona mapungufu Yao lkn Mimi tangu ninunue nimemaliza mwezi sasa na sijaona tatizo lolote japokuwa awali kweli huduma zao hazikuwa poa.