Azam tv kuweni serious mechi ya Tanzania na DR Congo yaani picha ni mbaya mno

Azam tv kuweni serious mechi ya Tanzania na DR Congo yaani picha ni mbaya mno

Kwamba umeshindwa kujiongeza kabisa Azam wanapokea tu hayo matangazo sio wao wanaorekodi?
Haki za matangazo Huwa zinabana nchi zingine muonyesha Kwa kutumia production zao labda Kwa makubaliano fulani.
 
Naangalia mechi ya Tanzania na DR Congo yaani picha ni mbaya mno naona Azam tvna hawa washirika wao kwenye kurusha wanatumia tecno.

Azam TV inabidi mjitafakari
Kweli picha ni mbaya jibu ni kwamba kuna haja ya kutafuta kifaa mbadala vipo ving'amuzi vingi vya kulipia
 
Wabongo kwa kulalamika 🙌
Mtu unatokwa mishipa ya shingo kwa kulalamika kwenye kitu ambacho hata hujui kinaendeshwa vp, azam yeye amepewa video tuu na sio kwamba yeye ndie amefanya production ya hy mechi.
Pia hawezi kukuta hy video mana Wabongo mnataka kuangalia hy mechi
 
Wabongo kwa kulalamika 🙌
Mtu unatokwa mishipa ya shingo kwa kulalamika kwenye kitu ambacho hata hujui kinaendeshwa vp, azam yeye amepewa video tuu na sio kwamba yeye ndie amefanya production ya hy mechi.
Pia hawezi kukuta hy video mana Wabongo mnataka kuangalia hy mechi
Kama hapa jf ndo panasifika mtandao pekee Tanzania unaotumiwa na watu wenye uelewa lakini kwa malalamiko yaliyotolewa humu
Nimethibitisha watanzania tuna tatizo kubwa Sana la uelewa .
Yaani mtu anaona kwa screen pameandika RTNC HALAFU anamlalamikia Azam kweli!
 
Sasa mkuu kama alikua hana uwezo wa kwenda kuchukua picha mwenyewe kwanini aligombania haki ya kuonyesha peke yake?
Kama hapa jf ndo panasifika mtandao pekee Tanzania unaotumiwa na watu wenye uelewa lakini kwa malalamiko yaliyotolewa humu
Nimethibitisha watanzania tuna tatizo kubwa Sana la uelewa .
Yaani mtu anaona kwa screen pameandika RTNC HALAFU anamlalamikia Azam kweli!
 
Sasa mkuu kama alikua hana uwezo wa kwenda kuchukua picha mwenyewe kwanini aligombania haki ya kuonyesha peke yake?
Una uhakika h mechi alikuwa anaonyesha azam pekee yake? H sio ligi kuu ujue. Kama TBC hajaonyesha bc n ujinga wake mwnyw lkn TBC nae alikuwa ana uwezo wa kuonyesha h mechi.
 
Kama hapa jf ndo panasifika mtandao pekee Tanzania unaotumiwa na watu wenye uelewa lakini kwa malalamiko yaliyotolewa humu
Nimethibitisha watanzania tuna tatizo kubwa Sana la uelewa .
Yaani mtu anaona kwa screen pameandika RTNC HALAFU anamlalamikia Azam kweli!
Yn hawa wanajua kila mechi inayoonyeshwa na azam wanadhan production imefanywa na azam, ipo siku azam ataonyesha kombe la dunia afu kutokee mistake waanze kuilalamikia azam, n bc tuu kombe la dunia n next level.
 
Povu lenyewe pumba tupu. Iwe ligi kuu isiwe ligi kuu ule sio msaada watu wamelipia gharama za kifurushi ujue. Wengi hawana habari na TBC unapoleta masihara ya kuitaja tbc kama chanzo mbadala unashangaza sana
Una uhakika h mechi alikuwa anaonyesha azam pekee yake? H sio ligi kuu ujue. Kama TBC hajaonyesha bc n ujinga wake mwnyw lkn TBC nae alikuwa ana uwezo wa kuonyesha h mechi.
 
Kama hapa jf ndo panasifika mtandao pekee Tanzania unaotumiwa na watu wenye uelewa lakini kwa malalamiko yaliyotolewa humu
Nimethibitisha watanzania tuna tatizo kubwa Sana la uelewa .
Yaani mtu anaona kwa screen pameandika RTNC HALAFU anamlalamikia Azam kweli!
Mimi nadhani wewe ndiye mjinga wa kiwango cha juu maana hata andiko hujasoma wewe unaona malalamiko!. Ukisoma andiko nimesema azam na washirika wake maana yake natambua kuna mahali anachukua matangazo. Ila yeye kama mtoa huduma ni wajibu wake kuhakikisha mimi mteja ninapata kilicho bora. Anapata namna gani hakinihusu mimi nimeishatimiza wajibu wangu wa kulipia king'amuzi changu.
 
Povu lenyewe pumba tupu. Iwe ligi kuu isiwe ligi kuu ule sio msaada watu wamelipia gharama za kifurushi ujue. Wengi hawana habari na TBC unapoleta masihara ya kuitaja tbc kama chanzo mbadala unashangaza sana
UMEKUWA AKILI UMEZIACHA MATAKONI? RTNC NDIO WALIOFANYA PRODUCTION YA HIYO MECHI SAMBAMBA NA KURUSHA MATANGAZO MBASHARA YA HIYO MECHI KWENYE TV KWASABABU HIYO MECHI INAHODHIWA NA CONGO KAMA MWENYEJI WA MECHI NA HAKI ZOTE NA HIYO MECHI KWENYE KUFUZU NI NCHI HUSIKA NDIO INAHUSIKA NA KURUSHA MATANGAZO. AZAM HANA HAKI YA KUFANYA PRODUCTION YA HIYO MECHI BILA RUKSA AU RIDHAA YA WAKONGO WENYEWE WENYE MECHI YAO KAMA WENYEJI WA MCHEZO NA KAMA HANA HAKI YA KUFANYA PRODUCTION INABIDI ARUSHE MATANGAZO KWA KUCHUKUA KWA WAKONGO(RTNC).
 
Mimi nadhani wewe ndiye mjinga wa kiwango cha juu maana hata andiko hujasoma wewe unaona malalamiko!. Ukisoma andiko nimesema azam na washirika wake maana yake natambua kuna mahali anachukua matangazo. Ila yeye kama mtoa huduma ni wajibu wake kuhakikisha mimi mteja ninapata kilicho bora. Anapata namna gani hakinihusu mimi nimeishatimiza wajibu wangu wa kulipia king'amuzi changu.
RUDI FACEBOOK JAMIIFORUM HATUNA WATU WAJINGA KAMA WEWE. UNAIDHALILISHA JAMIIFORUM.
 
Mkuu sio mie niliekuchana marinda kiasi kwamba muda wote unawaza matako tu. Pole jamani nenda hospital wajaribu kuyashona,unahara sana tena kwa herufi kubwa. Kihedemaede chao kinawafanya azam walaumiwe wasingetangaza kwa mbwembwe kuonyesha hio mechi huku hawana uhakika wa HD kwenye chanzo husika
UMEKUWA AKILI UMEZIACHA MATAKONI? RTNC NDIO WALIOFANYA PRODUCTION YA HIYO MECHI SAMBAMBA NA KURUSHA MATANGAZO MBASHARA YA HIYO MECHI KWENYE TV KWASABABU HIYO MECHI INAHODHIWA NA CONGO KAMA MWENYEJI WA MECHI NA HAKI ZOTE NA HIYO MECHI KWENYE KUFUZU NI NCHI HUSIKA NDIO INAHUSIKA NA KURUSHA MATANGAZO. AZAM HANA HAKI YA KUFANYA PRODUCTION YA HIYO MECHI BILA RUKSA AU RIDHAA YA WAKONGO WENYEWE WENYE MECHI YAO KAMA WENYEJI WA MCHEZO NA KAMA HANA HAKI YA KUFANYA PRODUCTION INABIDI ARUSHE MATANGAZO KWA KUCHUKUA KWA WAKONGO(RTNC).
 
Mimi nadhani wewe ndiye mjinga wa kiwango cha juu maana hata andiko hujasoma wewe unaona malalamiko!. Ukisoma andiko nimesema azam na washirika wake maana yake natambua kuna mahali anachukua matangazo. Ila yeye kama mtoa huduma ni wajibu wake kuhakikisha mimi mteja ninapata kilicho bora. Anapata namna gani hakinihusu mimi nimeishatimiza wajibu wangu wa kulipia king'amuzi changu.
Kama sio tatizo la afya ya akili huenda uko na njaa.
Nitakuwa mpumbavu zaidi kuendelea kukujibu
 
RUDI FACEBOOK JAMIIFORUM HATUNA WATU WAJINGA KAMA WEWE. UNAIDHALILISHA JAMIIFORUM.
Chief Kuna watu ukiwajibu unajiharibia hadhi yako tu.
Asa mtu Kama hajui hata maana ya production inavokuwa unamjibu wa nini.
Mtu anahoji Kama ilikuwa hivi kwanini Azam atangaze kuonesha Bila kuhakikisha HD.
Azam angehakikishaje HD kabla ya tukio?
Anyway hapa unapata jibu Rais wa Tanzania anakazi Sana kuiongoza nchii hii.
 
Back
Top Bottom