Azam TV kwanini mmeamua kipandisha bei ya ving'amuzi vyenu?

Azam TV kwanini mmeamua kipandisha bei ya ving'amuzi vyenu?

Si juzi tu mlikua mnatoa Hongera tele kwa Azam kutoa mabilioni TFF...au mlidhani hayo mabilioni anayatoa mfukoni mwake?[emoji1787][emoji1787]
 
Si juzi tu mlikua mnatoa Hongera tele kwa Azam kutoa mabilioni TFF...au mlidhani hayo mabilioni anayatoa mfukoni mwake?
Watu tunakimbilia kwakua kina free to air channels kipindi ambacho kifushi kimesha na mfukoni hauko vizuri waeza kumwona hata mama Samia akiongea na TEC
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Njorooo wa Ubaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dstv mbaki milele aisee huo uchafu ulioandika mtoa mada mkomae nao nyie wagumu[emoji23][emoji23][emoji23]

Mi nlishamiliki azam nkaona ni upuuuz iz beta tu bi diferent moa zan tu bi semu withi pua maind.

Hiyo inacost mzee!!!

Dstv
Tafuta hela wewe, acha kulia lia Compact ina 49k tu hatafu unalia lia
 
Kwa yeyote anaefaham mantiki ya azam kulazimisha offer ya miezi 3 huku ukiilipia pale unaponunua king'amuzi.
Zamani nadhani kwa sehemu nyingi vingamuzi vilikua vyauzwa kwa bei isiyozidi Tsh.150,000 lakini saivi ving'amuzi vyenu vyauzwa mpaka 250,000 huko si kuwaumiza wananchi na wateja wenu.

Pia badala mshushe bei ili kila mwananchi aweze kuafford na ili kutanua wigo wa mauzo ya vifurushi na wateja waongezeke ndo kwanza bei inapaa,huku mkijificha kwenye kivuli cha offer.

Mmenidisappoint sana baada ya kujichanga kwa miaka kadhaa nikaona leo sifanyi kosa tena lazima nilale nacho,nimestaajab baada ya kufika dukani na kuambiwa ni 245,000 wakati huo mi nimeenda na kiasi ambacho ni bei ya zamani 140000 hii so fare at a kidogo au ndo kusema saivi brand yenu inazidi kupanda thamani.
250k ?

Si bora muninyonge
 
Azam walianza vizuri sana ila sasa nataka nikigawe king'amuzi chao,yaani channels kibao wamezitoa ,hakuna Nigeria movie AMC /Star etc zote wameondoa ,Fox hakuna , Fine living,E! Ent wameondoa yaani full utopolo.
 
Afadhari star time aombe japo kandarasi ya kuchukulia picha kwao ili kuleta ushindani wa kibiashara,washajiona wako peke yao Hamna namna
Tbc nadhani walisema ndo watakuwa na mamlaka ya kuonesha mipira VPL sasa sjui wameshapewa chao
 
Ila sidhani kama walifanya utafiti wa kibiashara. Kuwa na wateja wengi ni uhakika wa fedha nyingi kwa muda mrefu kuliko wateja wachache fedha nyingi kwa muda mchache
 
nafikiri kungekuwa na mdhibiti wa huduma kama hizi aisee, sio wanajipangia wanavyotaka
 
Guys kama kuna mtu anahitaji king'amuzi complete/full kit cha AZAM cha DISH ambacho ni kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa chaneli zote kwa miezi mitatu. naomba anicheki DM tufanye biashara, kinapatikana kwa 165k (non-negotiable price)
 
Back
Top Bottom