balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hivi kwa kuanzisha kipindi hiki cha kila Jumapili asubuhi na hivi ninavyoandika kinaendelea mlikuwa na lengo gani? Bin Zubbery mwenyewe na wageni wake wako biased dhidi ya timu ya Yanga.
Wanaponda kila zuri la Yanga na inaonekana kama lengo ni kuikatisha tamaa Yanga na kuwakatisha tamaa wafuasi, mashabiki na wanachama wa Yanga.
Akialikwa mchezaji wa zamani mfano leo, alikuwa Omary Tamba ambaye alicheza Simba lakini aliposema kwao wote ni Yanga pamoja na yeye mwenyewe, Bin Zubbery kakunja sura na kuonesha hajapenda.
Basi kipindi kiitwe cha Simba na hao wengine kuliko kukiita Sports wakati kiko biased. Kwanini bin Zubbery asiwe impartial? Shida iko wapi? Nina wasiwasi pia na weledi wa bin Zubbery maana wakati anaongelea kuhusu baraza jipya la mawaziri, anatoa taarifa kana kwamba baraza limetangazwa leo asubuhi bila kujua kwamba, kwa dunia ya leo yenye mapinduzi ya teknolojia ya habari, habari ya jana jioni siyo habari tena.
Angejikita katika uchambuzi wa baraza na walioteuliwa siyo kuanza kusoma majina, hata hivyo hata majina yenyewe anayasoma kwa taabu sana. Nimeshangaa Sana.
Wanaponda kila zuri la Yanga na inaonekana kama lengo ni kuikatisha tamaa Yanga na kuwakatisha tamaa wafuasi, mashabiki na wanachama wa Yanga.
Akialikwa mchezaji wa zamani mfano leo, alikuwa Omary Tamba ambaye alicheza Simba lakini aliposema kwao wote ni Yanga pamoja na yeye mwenyewe, Bin Zubbery kakunja sura na kuonesha hajapenda.
Basi kipindi kiitwe cha Simba na hao wengine kuliko kukiita Sports wakati kiko biased. Kwanini bin Zubbery asiwe impartial? Shida iko wapi? Nina wasiwasi pia na weledi wa bin Zubbery maana wakati anaongelea kuhusu baraza jipya la mawaziri, anatoa taarifa kana kwamba baraza limetangazwa leo asubuhi bila kujua kwamba, kwa dunia ya leo yenye mapinduzi ya teknolojia ya habari, habari ya jana jioni siyo habari tena.
Angejikita katika uchambuzi wa baraza na walioteuliwa siyo kuanza kusoma majina, hata hivyo hata majina yenyewe anayasoma kwa taabu sana. Nimeshangaa Sana.