Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Paka wetu jana mlimnywesha maziwa mengi mpk akavimbiwa akashindwa kufanya manuva aiseee.Kuna target ya mwamba? Labda mazoezini. Kama mwamba ni target basi penati ya Kagere ni goli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka wetu jana mlimnywesha maziwa mengi mpk akavimbiwa akashindwa kufanya manuva aiseee.Kuna target ya mwamba? Labda mazoezini. Kama mwamba ni target basi penati ya Kagere ni goli.
Unawadhalilisha paka fc wenzio mkuuIlikuwa dakika ya 8 tu ila mechi imeisha statistics zenu zinasema simba haina shot on target au zinahesabiwaje hizo shots?
Anyway hongerenei deportivo la utopolo maana tangu 2007 hilo kombe hamlijui linafananaje,hongera pia matola kwa kuweza kucheza pira gwaride hakika ilkuwa ni mechi ya ajabu kabisa ya Simba na Yanga kuwahi kushuhudia.
na wewe kama penati nazo unaziingiza kwenye statistics, basi ongezea shots on target maana Yanga walipata 4 na Simba 3Kama mwamba ni target basi penati ya Kagere ni goli.
Leseni yake ni ndogo ila jana kadhihilisha uwezo wake mdogo waliokuwa wanampigia debe wamebaki kimya, timu inacheza bila muunganiko wowote
Anayo class E na Elimu ya hapa na pale
Ilikuwa deflected ili ilikuwa inajaa goliniVery simple ingekuwa on target lingekuwa goli sababu Mpira ungeingia ndani ya goli lakini sababu alipiga off target ndio ikagonga mwamba, na pia hivi haikuwa deflection kweli?
KabisaHata kama kuna watu walipata on target 5, swali nililo nalo ni hili: Hizo on targets dhaifu namna ile kiasi cha Beno Kakolanya kuzidaka kilaini,ndo za kujivunia?
Bado sikuona kana Beno alipewa challenge kwa on targets ambazo ni kama zilikuwa zinapigwa na walemavu wa miguu.
Ila ikapossess mpira kwa kiwango sawa na Yanga , kweli nimeamini mashabiki wa Yanga ni .... In Luc's voice [emoji23][emoji23]Leseni yake ni ndogo ila jana kadhihilisha uwezo wake mdogo waliokuwa wanampigia debe wamebaki kimya, timu inacheza bila muunganiko wowote
Nenda kachague wewe basi huyo ninja vi tackling viwili kama sio vitatu awe man of the match? Shughuli aliyoifanya babu Onyango haukuiona? Mbele yupo kati yupo mzee aliupiga mwingi sana weka ushabiki pembeni utaliona hilo.Yaani waliokuwa wanachagua wachezaji bora wa mchezo hawajui mpira...ninja ndio alikuwa man of the match.
Ile mechi ya azam na yanga eti haruna man of the match...wakati sureboy ndio alikuwa man of the match
Wee bwana mpira unaonekana hadharaniNenda kachague wewe basi huyo ninja vi tackling viwili kama sio vitatu awe man of the match? Shughuli aliyoifanya babu Onyango haukuiona? Mbele yupo kati yupo mzee aliupiga mwingi sana weka ushabiki pembeni utaliona hilo.
Sio hadharani unayoisemea wewe sasa ya ka nani kale kaninja sijuiWee bwana mpira unaonekana hadharani
Kutokuelewa tu ya on, off na target...target ni mpira kuingia nyavuni kwa kugusa nyavu ama tu kuvuka mstari by > 50%, ontarget ni yale mashuti yaliyolenga goli either kuingia nyavuni ama kipa kupangua ama beki kuundoa ukiwa unaelekea nyavuni, mpira uliogonga mwamba na ukaingia golini ni ontarget pia ila ukigonga mwamba na kurudi uwanjan ama kutoka nje ni out of target ama offtarget..Ilikuwa dakika ya 8 tu ila mechi imeisha statistics zenu zinasema simba haina shot on target au zinahesabiwaje hizo shots?
Anyway hongerenei deportivo la utopolo maana tangu 2007 hilo kombe hamlijui linafananaje,hongera pia matola kwa kuweza kucheza pira gwaride hakika ilkuwa ni mechi ya ajabu kabisa ya Simba na Yanga kuwahi kushuhudia.
Lazima lilenge goli aka ndani ya goli.Shots on target ni had kipa alicheze au lizame nyavuni.