DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Wasafi TV itakuwepo?Mimi ninatumia kifurushi cha 23000 currently lakini juzi nimeambiwa kuanzia December 1 kita kuwa 20000 pamoja na Wasafi tv wameshusha almost 4000 sio mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasafi TV itakuwepo?Mimi ninatumia kifurushi cha 23000 currently lakini juzi nimeambiwa kuanzia December 1 kita kuwa 20000 pamoja na Wasafi tv wameshusha almost 4000 sio mbaya
Wameshusha maana mi nlikua nalipa 23000 saivi ntalipa 20000hatimaye mzigo umefika!
Sasa kuona Ligi ya bongo itakupasa kulipia 20,000 kwa mwezi badala ya 18,000 kwa mwezi iliyokua hapo awali.
Vile vile ili kuona Ligi yetu ya hapa bongo kwa wiki utalipa 9,000 badala ya 7,000 ya hapo awali..
Huo ndio ukweli ingawa wenyewe wanajinasibu kuwa wamepunguza Bei!
Haya MITANO TENA!
Wanaanzia na dar es salaam kwanza.Vile vidude vyao vipya na kijijini vinashika
Hakuna shida wamekimbia tu,naona waliamua kuonyesha ligi ya ujerumani wakituambia ni ligi bora,,,Ligi ya spain hawaonyeshi sasa,shida nini wakuu?
Ndio ipo kwa malelezo yaoWasafi TV itakuwepo?