Azam TV wamepandisha bei ya vifurushi vyao!

Mimi ninatumia kifurushi cha 23000 currently lakini juzi nimeambiwa kuanzia December 1 kita kuwa 20000 pamoja na Wasafi tv wameshusha almost 4000 sio mbaya
Wasafi TV itakuwepo?
 
Wameshusha maana mi nlikua nalipa 23000 saivi ntalipa 20000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…