Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Televisheni za Taifa hupewa haki za matangazo sijajua kama ni bure au hulipa vunjabeiKurusha kombe la dunia ni gharama kuliko kurusha EPL ama UEFA champions league.
Jiulize kama hizo bei nafuu zinawashinda wanaanzia wapi kumudu ya bei ghali