Hapo ungepinga ubora wa Azam kwa kusema zaidi yake nani ungeonekana wa maana zaidi.Nani kakudanganya azam media ni wawekezaji wa ndani?
Huo bubora azam waliupata lini na wapi?
Je, zaidi ya kuonesha ligi za east afrika ni ligiganinyingine walizoonesha mpaka wawe bora kiasi hicho? Mahaba niue
Kwani unajua wengine wali-bid nini?Hapo ungepinga ubora wa Azam kwa kusema zaidi yake nani ungeonekana wa maana zaidi.
Halafu kuna watu humu wanapigia upatu hilo. Kilichonishangaza zaidi ni muda wa mkataba, miaka mingine mitano ya maumivu kwa vilabuNangojea siju Chelesea TV washinde kuonyesha EPL.mkataba huo unatakiwa utue rooms kwa wadhamini wengine.millioni 100+ kwa timu pa ni big joke na timu kubwa zinastahili fedha nyingi.Wenye decoder za azam hawabanwi sana katika kulipa ili kuchangia timu kubwa hivyo mapato ya milangoni hasa Dar yatazidi kupungua
Kumbe hizo 23bn ni for 5yrs? Kama ni hivyo mh!....Halafu kuna watu humu wanapigia upatu hilo. Kilichonishangaza zaidi ni muda wa mkataba, miaka mingine mitano ya maumivu kwa vilabu
Five years!Kumbe hizo 23bn ni for 5yrs? Kama ni hivyo mh!....
Sioni TV ya kushindana na Azam TV hapa bongo.
Mengine ya nimesikia mara oooh inasemekana... ni uongo tu.
Star times walitoa dau kubwa kushinda Azam ila TFF wamewatolea mbavuni...... hapa kuna harufu ya rushwa!!!! .
Watu tuache unafiki tofaut na Dstv supersport hakuna media kama Azam Hd yakuonesha mpira live Watu elewen hilo Azam yuko vizuri sana. Afu tuwe na tabia ya kupenda wawekezaji wa ndani kuliko ao startimes.
Nani kakudanganya azam media ni wawekezaji wa ndani?
Huo bubora azam waliupata lini na wapi?
Je, zaidi ya kuonesha ligi za east afrika ni ligiganinyingine walizoonesha mpaka wawe bora kiasi hicho? Mahaba niue
Ndivyo hali ilivyo Mkuu yaani kila kitu ni mtazamo hasi tu, sijui lini tutajifunza kuwa na mtazamo chanya kwa anayefanya vizuri.Umeongea point mkuu
Hapo ungepinga ubora wa Azam kwa kusema zaidi yake nani ungeonekana wa maana zaidi.
Unadhani unajua lakini hujui. UmekaririAcha kujisemea kama hujui plz
Kwa akili hizi soka la tanzania lina safari ndefuNdivyo hali ilivyo Mkuu yaani kila kitu ni mtazamo hasi tu, sijui lini tutajifunza kuwa na mtazamo chanya kwa anayefanya vizuri.
Kwa akili hizi soka la Tanzania lina safari fupi.Kwa akili hizi soka la tanzania lina safari ndefu
Unadhani unajua lakini hujui. Umekariri
Azam ni wawekezaji wa nje?Nani kakudanganya azam media ni wawekezaji wa ndani?
Huo bubora azam waliupata lini na wapi?
Je, zaidi ya kuonesha ligi za east afrika ni ligiganinyingine walizoonesha mpaka wawe bora kiasi hicho? Mahaba niue
Juzi palikuwa na thread hapa iliyozungumzia hilo. Ngoja niichekiAzam ni wawekezaji wa nje?
Nahisi mods wameifuta. Lakini ilisemwa kwamba imesajiliwa Mauritius.Azam ni wawekezaji wa nje?