wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,172
- 1,128
Malinzi kavuna chake mapema maana hana hakika ya kurudi tena madarakaniHalafu kuna watu humu wanapigia upatu hilo. Kilichonishangaza zaidi ni muda wa mkataba, miaka mingine mitano ya maumivu kwa vilabu